Ipo siku Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama atatoa Siri za nchi kwa maadui, Sabaya katufungua macho

We Beatrice si niliona Tangazo humu kwamba umekufa?Umefufuka?
 
Kwa mujibu wa sabaya means boss wake ndie alimtuma kufanya uhalifu means uporaji,ubakaji,kupiga watu.
 
Ooh kumbe!
 
sabaya amejitetea kipumbavu sana na ataozea jela kwa ujinga wake
Watamfix mazima hata ile huruma waliyotaka kumpa awatompa kaiumbua taasisi ya uraisi.Hana Siri hana kifua asau mazima teuzi hata akija toka jela.
Askari ni bora ufe kwa mateso kuliko kuuza tamani ya vita.
 
Jana ofisi ya Rais imepakwa kinyesi na Sabaya Mahakamani.
Wamepata walichokuwa wanatafuta.... Kuwapa madaraka makubwa watu wasio na maadili ndii matokeo yake haya.

Bado nakumbuka ile vile ya Gigi Money na Msando....
 
Sabaya amefanya kazi aliyotumwa, ila waliomtuma hawana mawasiliano sawa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona watu walitekwa, waliteswa, waliumizwa na wengine kupotea/kupotezwa wakati rais huyo akiwa madarakani?
Rais hakuwahi kukemea vitendo vya utekaji, wala hakuchukua hatua stahiki kwa vyombo vya uchunguzi ili kumjua mtu aliyekuwa anaendesha jinai ya kuteka watu.
Siwezi kusema ni kweli amemtuma Sabaya, lakini mwenendo wa kesi hiyo utaibua mengi tusiyoyajua.
 
We Beatrice si niliona Tangazo humu kwamba umekufa?Umefufuka?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata mi nimeshangaa, maana alianzisha uzi humu ambao wengi wetu ulitutoa machozi.
Kumbe bado yupo[emoji23][emoji23]
 
Hawa jamaa ni hatari hivi kweli mkuu wa nchi anaagiza tufanyiwe ujambazi?
 
Huyu alishasemaga ATAWATAJA WOOOTE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmasai wa kwanza kuwa MPUUZI
 
Hehehe ***** watu wanavimba sana wakiwa madarakani ila ujasiri ndio sifuri kabisa...

Viongozi wengi wa sisiemu ni sampuli ya sabaya... Hata sirro akiminywa vizuri siku moja atakuja kueleza yote yaliyotokea.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…