Ipo siku na ipo karibu sana Kenya itatawaliwa kijeshi. Hata hao wapinzani wa Ruto wanaojaribu kuchochea moto hawataambulia kile wanachotaka

Ipo siku na ipo karibu sana Kenya itatawaliwa kijeshi. Hata hao wapinzani wa Ruto wanaojaribu kuchochea moto hawataambulia kile wanachotaka

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !

Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !

Moto huu hautokomea hapa. Sasa mnatengeneza kizazi Cha vichaa kisichotii Sheria wala mamlaka! Kwa Hali ilivyo Kenya ipo karibu kabisa kutawaliwa na jeshi

Ipo siku jeshi litachukua nchi na hivyo matarajio yote wanayodhani watayapata endapo wataikwamisha serikali ya Ruto hawatayapata

Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu. Hata hao wanaojitokeza kukosoa Kila kitu hawana jipya watakalofanya zaidi ni uchu tu wa madaraka !! Note
 
Kenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !

Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !

Moto huu hautokomea hapa. Sasa mnatengeneza kizazi Cha vichaa kisichotii Sheria wala mamlaka! Kwa Hali ilivyo Kenya ipo karibu kabisa kutawaliwa na jeshi

Ipo siku jeshi litachukua nchi na hivyo matarajio yote wanayodhani watayapata endapo wataikwamisha serikali ya Ruto hawatayapata

Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu. Hata hao wanaojitokeza kukosoa Kila kitu hawana jipya watakalofanya zaidi ni uchu tu wa madaraka !! Note
UMESHIBA ZAKO BIRIANI SASA IMEKUTAWALA KICHWANI UNATAKA KUTISHA WATU.WATU WAKICHOKA CHOCHOTE LAZIMA KITOKEE.WE UNAZANI SERIKALI ZINAFELI ZINAKUWAJE.
NDO HAPA UNADANGANYWA WATANZANIA WANAPENDA AMANI WAKATI WAMECHOKA
 
UMESHIBA ZAKO BIRIANI SASA IMEKUTAWALA KICHWANI UNATAKA KUTISHA WATU.WATU WAKICHOKA CHOCHOTE LAZIMA KITOKEE.WE UNAZANI SERIKALI ZINAFELI ZINAKUWAJE.
NDO HAPA UNADANGANYWA WATANZANIA WANAPENDA AMANI WAKATI WAMECHOKA
Hata somalia kabla ya kuingia kwenye mtafuruku walijitokeza wenye akili za kijinga kama za kwako ! Wakashawishi watu na kuwapandikiza chuki kwa serikali yao ! Matokeo yake mpaka Leo wanajutia maamuzi yao
 
Back
Top Bottom