njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
🤐🤐🤐🤐🤐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKILI ZA KIJANGA NI WEWE .SIKU UKIFANYIWA USIJE KULETA KILIO SEHEMU YOYOTE KUHUSU UMEFANYIWA NA SERIKALI.SUBIRI WAKUKAMUE VIZURIHata somalia kabla ya kuingia kwenye mtafuruku walijitokeza wenye akili za kijinga kama za kwako ! Wakashawishi watu na kuwapandikiza chuki kwa serikali yao ! Matokeo yake mpaka Leo wanajutia maamuzi yao
Waponzani wa Ruto anafikiria wanachofanya wanakomoa Ruto kumbe wanaharibu nchiKenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !
Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !
Moto huu hautokomea hapa. Sasa mnatengeneza kizazi Cha vichaa kisichotii Sheria wala mamlaka! Kwa Hali ilivyo Kenya ipo karibu kabisa kutawaliwa na jeshi
Ipo siku jeshi litachukua nchi na hivyo matarajio yote wanayodhani watayapata endapo wataikwamisha serikali ya Ruto hawatayapata
Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu. Hata hao wanaojitokeza kukosoa Kila kitu hawana jipya watakalofanya zaidi ni uchu tu wa madaraka !! Note
Huu uporaji ni wa mita 100 ?!!Waarabu wanamaliza nchi ipi jamani kakipande ka mita mia tu kanawatoa roho ?
Mwaka jana Tanzania ilisaini mkataba wa maelewano na kampuni ya Dubai Blue Carbon. Chini ya mkataba huu Blue Carbon imepewa eneo la misitu lenye ukubwa wa hekta milioni 8...
Kabla hujaandika hii post, kwanza kwenye politics hakuna accident, kuna planned activities, it either zifanikiwe au zianguke. Pili kenya wana historia na haya mambo, si mara ya kwanza kwenye history ya taifa lao, siwageniKenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !
Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !
Moto huu hautokomea hapa. Sasa mnatengeneza kizazi Cha vichaa kisichotii Sheria wala mamlaka! Kwa Hali ilivyo Kenya ipo karibu kabisa kutawaliwa na jeshi
Ipo siku jeshi litachukua nchi na hivyo matarajio yote wanayodhani watayapata endapo wataikwamisha serikali ya Ruto hawatayapata
Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu. Hata hao wanaojitokeza kukosoa Kila kitu hawana jipya watakalofanya zaidi ni uchu tu wa madaraka !! Note
Wapinzani wa ruto ni akina nani kwenye hii conflict?Waponzani wa Ruto anafikiria wanachofanya wanakomoa Ruto kumbe wanaharibu nchi
Wananchi wameamka na kufunguka akili, hawataki tena ujinga. Lolote liwalo lakini rais afwataye baada ya Ruto hatawai tubuthu kucheza na mali ya umma. Kutoka hapa ndo mwanzo wa uongozi bora Kenya manake tumeshaweka mazoea Sasa hata vizazi vijavyo sasa vitatumia historia hii kama mfano, hata pia hao hawatakubali matumizi mabaya na Kodi yao.Kenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !
Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !
Moto huu hautokomea hapa. Sasa mnatengeneza kizazi Cha vichaa kisichotii Sheria wala mamlaka! Kwa Hali ilivyo Kenya ipo karibu kabisa kutawaliwa na jeshi
Ipo siku jeshi litachukua nchi na hivyo matarajio yote wanayodhani watayapata endapo wataikwamisha serikali ya Ruto hawatayapata
Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu. Hata hao wanaojitokeza kukosoa Kila kitu hawana jipya watakalofanya zaidi ni uchu tu wa madaraka !! Note
Kwa hiyo wewe chawa una maoni gani juu ya wanasiasa wa sisiemu, mbona kwa utawala wao wa miaka zaidi ya 60 hawajafanya chochote kusaidia wananchi kama hawa hapa?Hakuna mwanasiasa anayefanya siasa ili kusaidia watu. Wengi wapo kwa ajili ya maslahi tu.
Nani yupo nyuma? Mbona Odinga kamuunga mkono Ruto ila bado Gen Z wamewaka?? Sio kila kitu kutafuta lawama, ni kweli maisha ni magumu Kenya no ajira huku ufisadi umekithiri.Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !
Nitajie mali za umma alizoiba mpaka sasa au ni ushabiki tuWananchi wameamka na kufunguka akili, hawataki tena ujinga. Lolote liwalo lakini rais afwataye baada ya Ruto hatawai tubuthu kucheza na mali ya umma. Kutoka hapa ndo mwanzo wa uongozi bora Kenya manake tumeshaweka mazoea Sasa hata vizazi vijavyo sasa vitatumia historia hii kama mfano, hata pia hao hawatakubali matumizi mabaya na Kodi yao.
Unataka ccm ifanye miujiza gani ,unataka maendeleo unayoyawaza kichwani yatokee kama umeme ?Kwa hiyo wewe chawa una maoni gani juu ya wanasiasa wa sisiemu, mbona kwa utawala wao wa miaka zaidi ya 60 hawajafanya chochote kusaidia wananchi kama hawa hapa?
👇
Shida ya maji Mara: Kinamama wamlilia Rais Samia awatatulie shida yao
Tutegeni masikio tusikilize! --- Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao. Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya...www.jamiiforums.com
Kwamba miaka zaidi ya 60 ni kama umeme?Unataka ccm ifanye miujiza gani ,unataka maendeleo unayoyawaza kichwani yatokee kama umeme ?
🚮Bora Asante mama pamoja na amani Kila mtu anaamka asubuhi na kwenda anakotaka bila bugudha yoyote
Unajua madhara yake likifumuka? Pitia Libya!We bongolala unadhani kila kitu ni siasa? Serikali na Upinzani wameungana lakini bado hatukomi hadi tupate haki yetu, ambayo ni uwajibikaji.
We are partyless, tribeless and leaderless.