Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Huna hela ya kupanda ndege wewe.

Panda treni basi.

Unataka nchi iwe kama familia yako ikose usafiri?
Ni wewe tu hohehahe zumbukuku ulimwengu uko huku unayeona kupanda ndege issue.

Mimi nimeondoka Tanzania kwenda New York City na KLM tangu utawala wa Mkapa.

Na familia yangu inakuja kunitembelea kutoka Tanzania bila kukosa kila mwaka.

Katika mwezi uliopita kuna mtu karudi TZ na kuna mtu kaja huku.

Mimi napanda ndege za kimataifa, si za Tanzania.

Hoja niliyoijenga hapa huwezi kuielewa, kwa sababu una uwezo mdogo wa kufikiri na utapiamlo wa fikra.
 
Mimi nimeondoka Tanzania kwenda New York City na KLM tangu utawala wa Mkapa.

Na familia yangu inakuja kunitembelea kutoka Tanzania bila kukosa kila mwaka.

Katika mwezi uliopita kuna mtu karudi TZ na kuna mtu kaja huku.

Mimi napanda ndege za kimataifa, si za Tanzania.

Hoja niliyoijenga hapa huwezi kuielewa, kwa sababu una uwezo mdogo wa kufikiri na utapiamlo wa fikra.
Kumbe nahangaika na mtu asiye jua umuhimu wa Tanzania. Endelea na maisha huku.

Ni hivii; siku hizi na sisi tunaenda china na India kwa ndege za Moja kwa Moja non stop.

Ha huku nchini kwenu uchumi unachangamka kwa sababu ya ndege.

Nyie ndo mnaona kama hii nchi ibaki Nyuma, kipoli poli..nyie mpande midege hapo US. Siongei Tena na wewe mzamiaji
 
TumainiEl huu Uzi wako unatoka mapepo na mashetani.

Kuna mijitu inahasira sana baada ya kukosa asali na formula za maisha Yao kukologeka.

Nasemajeeeee! Pepo toookaaaa.
 
Kumbe nahangaika na mtu asiye jua umuhimu wa Tanzania. Endelea na maisha huku.

Ni hivii; siku hizi na sisi tunaenda china na India kwa ndege za Moja kwa Moja non stop.

Ha huku nchini kwenu uchumi unachangamka kwa sababu ya ndege.

Nyie ndo mnaona kama hii nchi ibaki Nyuma, kipoli poli..nyie moande midege hapo US. Siongei Tena na wewe mzamiaji
You are an innumerate and illiterate nincompoop without an iota of understanding regarding the complexity of the airline business, or even simple economic concepts such as competitive advantage.

This is why we can't relate.
 
You are an innumerate and illiterate nincompoop without an iota of understanding regarding the complexity of the airline business, or even simple economic concepts such as competitive advantage.

This is why we can't relate.
Try to differentiate between business and services.

The key goal of the government is to offer services to citizens and little business.
If a government can construct railways, roads and electricity facilities.. where is the profit on these three. Why not Airplane?. Whoever took you to school made you more illiterate and you were on foolishness holiday.

The country will only be built with those who have big brain and not people like you who went to school to learn foreigners economics. Country like US there are many rich people who can operate Airlines businesses and the government can do other including donations to other countries to defend their power.. please don't compare.
 
Try to differentiate between business and services.

The key goal of the government is to offer services to citizens and little business.
If a government can construct railways, roads and electricity facilities.. where is the profit on these three. Why not Airplane?. Whoever took you to school made you more illiterate and you were on foolishness holiday.

The country will only be built with those who have big brain and not people like you who went to school to learn foreigners economics. Country like US there are many rich people can operate Airplan businesses and the government can to other including donations to other countries to defend their power.. please don't compare.
Tanzania started to develop a good enough private sector in the airline industry until Magufuli killed it deliberately so he could hold a monopoly with ATC, in the process causing air fare to go up.

Moreover, he prioritized the purchase of these planes without having a business plan.

As if that was not enough, he bought the planes without even thinking that these planes could easily be seized due to the numerous court cases which the Tanzanian government lost and is supposed to pay people their dues.

As we speak there is an ATC plane that is seized in the Netherlands due to this very reason, did you know that?

Ujanja mwingi, mbele kiza. Upumbavu mtupu.

 
Mungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.

Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.

Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.

Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.

Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.

Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.

Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.

Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.

Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.

Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya

Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.

Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.

Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.

Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.

Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.

Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu.

Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Watu wanakosa content za maana za kuweka, mnatujazia servers kwa mambo ya kijinga. Nenda kaishi kwenye nyumba ya kaburi lake basi kama una mapenzi na hiyo takataka
 
Tanzania started to develop a good enough private sector in the airline industry until Magufuli killed it deliberately so he could hold a monopoly with ATC, in the process causing air fare to go up.

Moreover, he prioritized the purchase of these planes without having a business plan.

As if that was not enough, he bought the planes without even thinking that these planes could easily be seized due to the numerous court cases which the Tanzanian government lost and is supposed to pay people their dues.

As we speak there is an ATC plane that is seized in the Netherlands due to this very reason, did you know that?

Ujanja mwingi, mbele kiza. Upumbavu mtupu.

Come-on niga.

Developments are not soft as you enjoy in the U.S... you found U.S already settled and you have not read its development history. They fought War to reach there.

We're also in a war.. don't undermine. Soft development will never happen.
 
Mungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.

Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.

Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.

Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.

Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.

Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.

Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.

Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.

Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.

Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya

Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.

Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.

Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.

Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.

Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.

Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu.

Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Magufuli alikuwa anacheza na jukwaa. Akazima freedom of expression na kuvitisha vyombo vya habari visiandike habari asizopenda. Ni habari za kumsifu yeye na kuwaponda watangulizi wake ndiyo zilitawala

Alijuwa kuwa 90% ya Watanzania siyo werevu wa kuchambua uwongo wake. Akapandikiza uwongo ambao bado umejaa kwa Watanzania hadi leo.

He was nothing but a demon. How on earth do you have to say "Kwenye utawala wangu matajiri wataishi kama mashetani?

Ningemuelewa kama angesema "Maskini wataishi kama malaika"

I wish he could die again where he is
 
Kuna nguvu kubwa inatumika kumfanya JPM aonekane hakuwa kitu na alifanya ovyo.

Ingawaje pia kuna yake aliyokosea lakini alitenda vizuri kwa kadiri yake.
Ni kweli alitenda mengi mazuri,kama kujenga
Chato International Airport
Chato Zonal VETA
Chato zimamoto
Chato Mahakama
Chato National Park
Chato CRDB
Chato bohari kuu ya Kanda
Chato TANAPA Hotel 3 star
Chato Hospital ya rufaa
Chato proposal Stadium 🏟
Chato Office za TANESCO ghorofa 3
Chato maandali ya kuwa Mkoa

Huyu Mwamba alifanya mengi mazuri na kwa katiba yetu kulikuwa hakuna wa kumzuia.

Wapo wale wapuuzi wengine watakwambia kwani Chato ipo Rwanda !.Ukiwauliza wakutajie Wilaya moja tu iliyopelekea 10% ya miradi iliyopelekwa Chato wanabaki wakikodoa macho utafikiri wamebanwa mbavu na Chatu.

Katiba mpya Tanganyika ni muhimu sana kuliko wakati wowote kuepuka kuja kukutana na Magufuli mwingine.
 
Uzalendo huo ulikuwa siri tena? , Basi kuna watu mliojua hizo siri ndo maana mnampenda, kwa wasiojua siri ilikuwa ni mateso..
Kama alivyo sema mwenyewe "Watanzania Kuna siku mtanikumbuka sio kwa mabaya ila Mazuri" RIP Magufuli
 
Uzalendo
Uzalendo wa Kitanzania sio?

.......sifa za mzalendo.....
1. Anaipenda nchi na watu wake
2. Haiibii nchi yake
3. Hufanya kila kitu kwa manufaa ya nchi na watu wake
4. Hatesi raia
5. Haui/hauwi raia

KAMA MAGUFULI ALIKUWA NA SIFA HIZO AJENGEWE MWAKA HUU HUU
4&5 tuwaachie wenyewe kama kweli wafungue file kama na ccm yenyewe haijapotea.
 
Mungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.

Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.

Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.

Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.

Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.

Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.

Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.

Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.

Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.

Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya

Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.

Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.

Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.

Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.

Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.

Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.

Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen

Uzalendo haufundishwi, ni mapenzi ambayo hutoka kwa mtu kwa nchi yake.

Alichohubir sana yeye ni nationalism si uzalendo
 
4&5 tuwaachie wenyewe kama kweli wafungue file kama na ccm yenyewe haijapotea.
Wakifungua hizo kesi, wewe utapona? Wewe si ndiye unatajwa kama mshiriki wa kuondoa uhai wa Ben Sanane?

Kama ulishiriki kwa namna yoyote ile, kamwe hutakuja uwe na amani. Utatangatanga huko na kule katika dhamira na roho, na mwisho wako utakuwa wa mateso na majuto.
 
Mzalendo hanunui midege ya bei mbaya kwa cash bila business plan.

Wakati nchi inategemea kilimo cha mvua za msimu.
Wala kutumia mabilioni ya shilingi ambayo ni Kodi ya wananchi kununua wapinzani kwa maslahi yake ya kisiasa. Nitakuwa Wa mwisho kusadiki kuwa jiwe alikuwa mzalendo.
 
Mungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.

Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.

Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.

Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.

Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.

Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.

Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.

Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.

Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.

Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya

Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.

Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.

Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.

Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.

Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.

Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.

Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Nipo tayari kuwa mlinzi wa Maktaba ya Mwamba Jiwe Magufuli bila malipo!
 
Natabiri mengi basi pia itakuwa nahusika na kifo cha JPM maana pia nilitabiri. Kuna mstari hupaswi kuuvuka ktk jamuhuri. Hilo ndio funzo kwangu na kwako.
 
Wakifungua hizo kesi, wewe utapona? Wewe si ndiye unatajwa kama mshiriki wa kuondoa uhai wa Ben Sanane?

Kama ulishiriki kwa namna yoyote ile, kamwe hutakuja uwe na amani. Utatangatanga huko na kule katika dhamira na roho, na mwisho wako utakuwa wa mateso na majuto.
Natabiri mengi basi pia itakuwa nahusika na kifo cha JPM maana pia nilitabiri. Kuna mstari hupaswi kuuvuka ktk jamuhuri. Hilo ndio funzo kwangu na kwako.

Quote
 
Mzalendo hanunui midege ya bei mbaya kwa cash bila business plan.

Wakati nchi inategemea kilimo cha mvua za msimu.
Mkuu Kiranga

Samia amelipa cash kwa Cargo Flight!

Nchi haitegemei tena kilimo cha mvua za msimu?

c.c pasco mayala
 
Back
Top Bottom