Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Ni wewe tu hohehahe zumbukuku ulimwengu uko huku unayeona kupanda ndege issue.Huna hela ya kupanda ndege wewe.
Panda treni basi.
Unataka nchi iwe kama familia yako ikose usafiri?
Mimi nimeondoka Tanzania kwenda New York City na KLM tangu utawala wa Mkapa.
Na familia yangu inakuja kunitembelea kutoka Tanzania bila kukosa kila mwaka.
Katika mwezi uliopita kuna mtu karudi TZ na kuna mtu kaja huku.
Mimi napanda ndege za kimataifa, si za Tanzania.
Hoja niliyoijenga hapa huwezi kuielewa, kwa sababu una uwezo mdogo wa kufikiri na utapiamlo wa fikra.