Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo


Jizi Nani? Wewe ndio jizi. Mnaiba Trilioni 1.5 bila huruma.
 
1.5 trillion zipo wapi?
 
Sabaya leo hii yupo lupango kisa ukola
 
Labda uwe rais wa Burundi kwenu
 
Hakuwahi kuwa mzalendo, hzo porojo peleka huko alikolala...sanamu hata mbwa unaweza kumchongea sanamu pia...atakumbukwa kwa ukatiri wake tu... kama ni barabara hata mkoloni alijenga , kama ni reli hata mkoloni alijenga japo sio nchi yake ...
 
Hakuwahi kuwa mzalendo, hzo porojo peleka huko alikolala...sanamu hata mbwa unaweza kumchongea sanamu pia...atakumbukwa kwa ukatiri wake tu... kama ni barabara hata mkoloni alijenga , kama ni reli hata mkoloni alijenga japo sio nchi yake ...
ukweli utakuweka huru siku zote
 
Mimi ntasherekea kama vile sherehe za uhuru
 
Mkuu so hawa watu wa humu wanaishi mbinguni au sijakuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…