Ipo siku tutakuja kujutia mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World

Ipo siku tutakuja kujutia mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World

Chief Wingia

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
2,653
Reaction score
4,744
Habari zenu wakuu, niende direct kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu.

Bila kupepesa macho, hili suala la mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World lilijawa mihemko ya kimaslahi binafsi na Kicmm sana. Yaani karibia CCM wote wanakubali mkataba bila kujali maslahi mapana ya taifa!

Niwaambie tu hili zimwi litakuja kukutafuna ipite siku, mwaka na hata miaka, lakini ipo siku tutakuja kulialia hapa.
 
Kwanini unaona ni utopolo wakati hujatoa hoja tofauti nayake?..Chawa mmekua wengi sana hadi kila anayefikiri tofauti nanyie mnamwona anakosea nanyie ndio mko sahihi.
Hoja gani za kujibu hapo babu labda wewe uzianishe moja moja nizijibu.
 
Back
Top Bottom