Iran atapigwa tu kipigo cha mbwa mwizi - Anatafutiwa sababu na Kumbe kweli kwa makosa Aliitungua Ndege ya abiria ya Ukrain!U

Iran atapigwa tu kipigo cha mbwa mwizi - Anatafutiwa sababu na Kumbe kweli kwa makosa Aliitungua Ndege ya abiria ya Ukrain!U

Almost mambo yote hasa mashindano makubwa Dunian nimeyashuhudia , nimebakiza Vita kuu tu ya Dunia
 



Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu.

Kinachofuata ni kama kile kilichotokea Libya, Jeshi la Nato litaipiga Iran Muda wowote.

Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.

Technolojia haidanganyanyi siku hizi.
Haha si mlisema hakuna waliye kufa au kujehuriwa na missile za Iran, mmeamini sasa US huwa huficha kipigo anacho pewa.

Afu Waziri wa Ukraine mbona kakanusha hayo, msikie anasema nini hapo chini.

Waziri wa Mambo ya nje wa Kiukreni: kwamba upande wa Irani unashirikiana nasi wakati wa uchunguzi kuridhisha, na kuturuhusu kuona data ya sanduku nyeusi la ndege.
"Hatushangazwi na msimamo wa Irani. Hivi ndivyo mambo yanaendelea katika nchi zote," Zielinski alisema, akizungumzia Ukraine kama nchi pekee iliyopo Irani kuchunguza.
 
Kufananisha Libya na Iran ni ujuha wa kiwango cha standard gauge.

Wenye akili wanaelewa ni nini nazungumzia.


Libya ilikuwa ni USA vs Gadaffi

Iraq ikawa ni USA vs Saddam

Iran ni USA vs Iran




Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu.

Kinachofuata ni kama kile kilichotokea Libya, Jeshi la Nato litaipiga Iran Muda wowote.

Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.

Technolojia haidanganyanyi siku hizi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaosema Iran apigwe kipigo kwa kufanya bombing kwenye hiyo ndege ya abiria, I hope mlishawahi piga kelele pia kuwa US apewe kipigo baada ya kubomb ndege ya abiria.



Sent using Jamii Forums mobile app
 



Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu.

Kinachofuata ni kama kile kilichotokea Libya, Jeshi la Nato litaipiga Iran Muda wowote.

Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.

Technolojia haidanganyanyi siku hizi.
Kakojoe kwanza ukalale kijana [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.'

Nyie si mnasema makombora ya Iran hayajaua mwanajeshi yoyote yule wa US na Washirika wake?

Sasa hao wanajeshi unaowasema wewe umewatoa wapi?

dodge
Akikujibu unitag.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran sio nchi ya mchezo ana nguvu za ajabu na hili USA wanalijua mwaka 1983 kambi ya msrekani pale jordan ilivamiwa na hezbollah kilichofanyika wamarekani huomboleza mpaka leo ( 283 walikufa)
Mwaka 1988 wamarekani wakimsaidia iraq na iran ikiwa dhaifu waliwatwanga wairaq kipigo cha mbwa. Iraq alipotaka mazungumzo kichapo kikaendelea..
Mwaka 2006 iran akiwasaidua hezbollah aliichalenge Israel vitani hadi wakakimbilia UN.
Mwaka 2020 iran bila shaka wanapanga jambo kubwa sana la kuwaliza wamarekani..
2020 iran wamevurumisha kombora 26 na no one able to intercept it.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom