Iran attacked Mossad base in Erbil


Yule myahudi koko MK254 leo ana atashinda eda
 
Waajemi wa JF kwa kupindisha habari hamjambo. Iran imefanya shambulizi Iraq na kumuua mfanyabiashara raia wa Iraq na familia yake hyo ishakua kambi ya Mossad😂😂😂😂Aiseee

Kwani mwisraeli amekanusha?

 
Hawajui hata Balozi kwny nchi Fulani ni sehemu ya ujasusi....
Nimegundua kama tunabishana na watoto wasiojua lolote humu

Yaani wanashangaa mambo madogo madogo kama haya ambayo yakawaida sana

Kuna haja ya kuacha kubishana na baadhi ya vijana maana hawana walaolijua ila wanajifanya wanajuuuua
 
Kurdistan inahatarisha ustawi wa hizo nchi tatu ndio sababu kuu hawaitaki, sababu ya Israel sio nzito kama hiyo ya mwanzo. Kurdistan ikiwa huru kutoka Iraq, Wakurdi wa Iran kutoka jimbo sumbufu la Kordestan watataka kuwa huru na yawezekana wakasaidiwa na nchi huru ya Kurdistan maana watakuwa wanapakana nayo. Wakurdi wa Uturuki watataka kuwa huru, wa Syria nao pia
 
Hujakosea bro ila wakurdi hawafai wakaachwa wastawi.
Wakurdi ni watu safi sana. Ni sababu wananyanyaswa muda mrefu ndio maana wanajihami. Muda wote wanapigwa kuwa persecuted kuangamizwa wapotee duniani. Hawana ugomvi na asiye adui yao, lile eneo lao la asili ingetengwa na wakoloni ikawa nchi yao wangekuwa wana maendeleo sana ukanda ule.
Kila nchi inawakataa sababu ya dini na race.
 
Wakurdi mpaka Turkiye wapo.
Na Turkiye hakuna jamii inayotengwa bro kuna mpaka jamii za Greek zinaishi na Albania bila tatizo.
Ila hao jamaa wanawaza fujo muda wote.
 
The US is realising very quickly that they are making a big mistake striking the Houthi's

They would rather start WW3 than just force Israel into a ceasefire

All it would take for there to be total piece is to just stop funding Israel, seriously

- Follow for quick updates
 
Hivi Kurdistan ni semi autonomous au autonomous kabisa. Na je masuala ya ulinzi ni jukumu la Kurdistan au ya Iraq. Najua juhudi zao za kujitenga ila sijui kama wameishakuwa huru, wanatambulika kimataifa na Iraq inawatambua kama huru.
Kurdistan ni auto kabisa wale mzee kwenye masuala ya ulinzi sijajua saana ila nlichowahi kusikia nikwamba wanashirikiana na MOSSAD tuuu basi zaidi ya hapo sijafatilia
 
Ajitahidi afanye haraka atoke na nje atusaidie kufanya usafi na huku Africa tumechoka na mambo ya alshabab na Boko haram. Tunataka tuishi kama jamii zilizostarabika kama nchi za Magharibi na America. 😄😄😄😄
Hakuna nchi ilo staarabika ikaruhusu watu wa jinsia moja kuwa mke na mume

Hakuna jamii ilostaarabika ambayo mzazi ana watoto wake halaf anaenda kufungiwa kwenye vijumba huko analelewa na watu wengine

Wamagharibi wanatakiwa waje afrika waende na arabuni wakafundishwe ustaarabu
 
Hiyo ni kweli na wakrudi ndo jamii kubwa amboyo haikufanikiwa kuunda kuunda taifa lao, na wakulaumiwa ni Ottoman aliye kuwa ana watawala , lakini cha kujiuliza mbona Ottoman ilikubali jamii ya waarmenia waunde taifa lao wakiti wao ni wakristo lakini wakawabana wakrudi ambao walikuwa waisilam wenzao?
 
Labda tatizo ni race yao lakini kwenye dini wakrudi ni waisilam wa madhehebu ya suni ambayo ndo dini kuu ya waturuki.
 
sema zile ballistic ukitizama video, zinavyoshuka kwa kweli Iran ipo mbali kijeshi, ile ni onyo kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…