Iran contribution to world technology development

Iran contribution to world technology development

andika waliopata nobel mwaka huu
Nobel ni pro west Tuzo, watu wengi wanaopewa Tuzo ya Nobel hawastahili na kuna wauaji wengi sana wana hio Tuzo. pia mwanamke wa Kwanza kupata Nobel Ya Mathematics ni Muiran kama Sijakosea.
 
Unatafuta kivuli cha kujifichia!?
Hakuna cha mihemko wala nini nani asiyefahamu kama wewe ni mdini!?
Masuala ya Mola mlezi yanakujaje kwenye mada za diplomasia!?
Naona umeanza kustarabika sasa Asante sana ubalikiwe mtumish

Usipende kutukana matusi bila sababu ndugu yangu, sisi sote ni ndugu tupendane
 
Iran and science, Iran na science, Iran na science, Iran na science Kila sehemu, sema wamechangia Nini tangible siyo mambo ya Lasser na mionzi ambayo Haina impact zaidi ya kuleta mabalaa
Vingi mno, kitu rahisi ambacho hata popoma anaelewa ni Operation ya Kichwa, mtafute Mhenga yoyote akuelezee zamani, Operation ya kichwa ilikua ni kufa na kupona lazima Usign ndugu wa karibu kabla hajapasuliwa, ila kupitia wanasayansi wa Iran vita vya Iraq na Iran wakagundua njia mpya ya kumpasua kichwa mwanadamu ambayo risk ya kufa ni ndogo, ndio inatumika dunia nzima mpaka sasa.
 
Uajemi ya kikafir ilikuwa na akili mingi mno. Wangekuwa supa pawa hawa watu ila ndio hivyo tena.
Vice versa is true nikipata muda Nita edit, ila Iran Islamic Golden age walikua vizuri, Kipindi cha shah wakati wapo west walipitwa Mbali hadi na Tanzania na sasa toka wafanye mapinduzi wa narudi kwenye hadhi yao.
 
What the Muslim calls "Islamic Golden Age" was in fact a "Persian Golden Age" because almost all important innovations and discoveries in the said period were made by Persians/Iranians.
 
Vice versa is true nikipata muda Nita edit, ila Iran Islamic Golden age walikua vizuri, Kipindi cha shah wakati wapo west walipitwa Mbali hadi na Tanzania na sasa toka wafanye mapinduzi wa narudi kwenye hadhi yao.
Kwani maendeleo na contribution ya Iran aliyoweka Kosugi ni ya lini? Ni ya zama za kale. Baada ya kuvurugwa na mabedui Iran ilianza kupotea.
 
What the Muslim calls "Islamic Golden Age" was in fact a "Persian Golden Age" because almost all important innovations and discoveries in the said period were Persians/Iranians.
Agree! But those innovations and discoveries were declining compared to the past.
 
Kwani maendeleo na contribution ya Iran aliyoweka Kosugi ni ya lini? Ni ya zama za kale. Baada ya kuvurugwa na mabedui Iran ilianza kupotea.
Mkuu pale kuna ya zama za kale na sasa hivi, nakuomba usome vizuri article.
Zama za kale na sasa hivi.
Kuna sehemu inasema "licha ya vikwazo vya mataifa ya nje ila bado Iran imeonekana kupiga hatua kimaendeleo ya science".
Soma maelezo ya juu kabisa.
 
Iran and science, Iran na science, Iran na science, Iran na science Kila sehemu, sema wamechangia Nini tangible siyo mambo ya Lasser na mionzi ambayo Haina impact zaidi ya kuleta mabalaa
Hauko sawa ktk kufikiri!!
Mionzi inaleta balaa umesahau matumizi yake kwenye tiba ya saratani, upasuaji, vipimo vya hospitali, kuhakiki ubora wa bidhaa kama mabomba, carbon dating, kwenye construction, n.k.
Wewe umeongea kama mtu wa masomo ya sanaa pekee au mwenye elimu chini ya kidato cha nne.
 
Kwani maendeleo na contribution ya Iran aliyoweka Kosugi ni ya lini? Ni ya zama za kale. Baada ya kuvurugwa na mabedui Iran ilianza kupotea.
Hayo ni sahihi na ya sasa pia ni sahihi, wengi hamjui Contribution ya sasa, ukitaka kujua Wairan wapo vizuri kisayansi uliza wanasayansi sio wanasiasa.

Japo Usa wameweka vikwazo kwa Iran ila still Wanasayansi wa hizo Nchi wanashirikiana na kuna mambo mengi mno hapo Usa yamewezekana sababu ya wanasayansi wa Iran.

Nakupa mfano, Iran ni katika Nchi iliofanikiwa sana kutoa huduma za Afya vijijini, wananchi wengi wa Iran bado wanaishi vijijini, At same Time Usa bado Huduma ya Afya hasa vijijini ni mbaya, So what's solution? Kucopy model ya Iran, kupata ushauri toka kwao, Mississipi ikaanza kutumia hio model

Kuna mifano mingi mno ya wanasayansi wa Iran kubadili na ku improve sayansi tunayoijua leo.
 
And they started to emerge again after Islamic revolution.
Is there any positive correlation between ones faith and scientific innovation?

Jibu hilo swali in connection to Iran's the so called blah blah revolution and prove other societies wrong.
 
Hayo ni sahihi na ya sasa pia ni sahihi, wengi hamjui Contribution ya sasa, ukitaka kujua Wairan wapo vizuri kisayansi uliza wanasayansi sio wanasiasa.

Japo Usa wameweka vikwazo kwa Iran ila still Wanasayansi wa hizo Nchi wanashirikiana na kuna mambo mengi mno hapo Usa yamewezekana sababu ya wanasayansi wa Iran.

Nakupa mfano, Iran ni katika Nchi iliofanikiwa sana kutoa huduma za Afya vijijini, wananchi wengi wa Iran bado wanaishi vijijini, At same Time Usa bado Huduma ya Afya hasa vijijini ni mbaya, So what's solution? Kucopy model ya Iran, kupata ushauri toka kwao, Mississipi ikaanza kutumia hio model

Kuna mifano mingi mno ya wanasayansi wa Iran kubadili na ku improve sayansi tunayoijua leo.
Is there any positive correlation between ones faith and scientific innovation?

Jibu hilo swali in connection to Iran's the so called blah blah revolution and prove other societies wrong.
 
Is there any positive correlation between ones faith and scientific innovation?

Jibu hilo swali in connection to Iran's the so called blah blah revolution and prove other societies wrong.
You got me wrong.
Nachomaanisha ni kuwa kuna muda wali decline ila baada ya revolution wali emerge tena.
Sizungumzii imani bali nazungumzia kipindi.
 
What the Muslim calls "Islamic Golden Age" was in fact a "Persian Golden Age" because almost all important innovations and discoveries in the said period were made by Persians/Iranians.
What innovations and discoveries were made by the Iranians.😮😮😮
 
You got me wrong.
Nachomaanisha ni kuwa kuna muda wali decline ila baada ya revolution wali emerge tena.
Sizungumzii imani bali nazungumzia kipindi.
Huzungumzii imani wakati "islamic" revolution umelirudia countless number of times? Your accounts of the issue has lost credibility for sure.
 
Huzungumzii imani wakati "islamic" revolution umelirudia countless number of times? Your accounts of the issue has lost credibility for sure.
That is due to your perception.
Ila mimi kuzungumzia Islamic revolution ni kutaja muda.
Kwasababu tangia mapinduzi yafanyike Iran mwaka 1979 kuelekea hadi sasa imekua ikijikita kujitegemea yenyewe katika sekta ya viwanda na sekta zingine za kiuchumi kulingana na kuwekewa vikwazo vingi.
Na hayo mapinduzi kuna jina lingine linalojulikana zaidi ya hilo nilolitaja mkuu!??
 
Back
Top Bottom