Iran Infinity Jihad


Umekuwa msemaji wa wairani au ??
 

Tuwekee aya ujio wa Kristo katika agano la kale , please
 
Tatizo uislamu wenyewe umebuniwa na muarabu juzi, miaka 500 baada ya Yesu, huyo muarabu akaanza kwa kuchinja na kulazimisha watu hiyo dini yake, hivyo hiyo waliyomwaga tangu uasisi wa hiyo dini ndio unawatafuna hadi leo.

Ndivyo ilivyoandikwa kwenye biblia yako ya QJV
 

Dr Matola umekuwa msemaji wa Israeli ??
 
Irani taifa teule, go go IRGC tuko pamoja na nyinyi hata mkiuliwa nyote.
 
Israel wana vita 3 wakati wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…