Iran kuishambulia Marekani

Ishi kwa akili yako acha mihemko ya kiimani.
 
sasa atamuweza USA mfupa uliomshinda fisi kuutafuna?.
✋✋✋✋ Taratibu basi!!!

Fisi yupi ameshindwa kutafuna huo mfupa, unaweza kumtaja huyo Fisi?

Au umeandika kinyume?
Unamaanisha USA ndio Fisi mwenyewe, maana mifupa iliyomshinda kuitafuna ipo, na tunaijua.

Fupa 👇👇👇👇
 
Wait,kwenye unabii wa biblia unasema siku za mwisho Taifa kubwa,litapigwa na Taifa dogo..kama ndio hivi semeni nifunge na kusali maana ule mwisho umekaribia...
 
Wait,kwenye unabii wa biblia unasema siku za mwisho Taifa kubwa,litapigwa na Taifa dogo..kama ndio hivi semeni nifunge na kusali maana ule mwisho umekaribia...
Ndicho kinachoenda kutokea
 
Hicho ndicho ninacho tamani litokee israel, ucrain wanaonewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…