Iran kuishambulia Marekani

Mkuu nakurekebisha kidogo maeneo ambayo Iran wamesema ni Base za USA zilizopo Mashariki ya kati kama kule Iraq na Saudia Arabia ambapo Iran wamedai ni rahisi zaid kwa wao kuzichakaza kuliko hata kulenga Israel iwapo US itaisaidia Israel katika mashambulizi ya kulipa kisasi
 
Ni kweli amesema haya baada ya raisi wa Iran kutembelea qataria
Pia naye Ayatola ameyasema hayo katika khotuba yake wakati wa swala ya leo Ijumaa kwamba Iran itashambulia maeneo yenye maslahi ya Marekani huko mashariki ya kati endapo marekani itaingilia kumsaidia Myahudi.
Inaonekana kama vile Ayatola amechoka kuishi hapo Iran au kwingineko hapa duniani ana usongo na anatamani sana mabikra 72 na mito ya pombe.
Ngoja tuone itakavyokuwa.
 
Wewe jamaa ni kichekesho sana!

Uzi wako wa kwanza uliandika uongo wako na ukafeli! Umeulizwa maswali kule kwa ulichokiandika hujajibu mpaka sasa!

Umerukia kwenye Uzi mwengine ambao unaandika tu ilimradi unaandika.

Una matatizo gani?
 
We kenge wala sikusoma ulicho andika nilishia ilipo sema Iran kawabembeleza US na india nikafahamu wazi mtoto anaropoka sio mtu ana akili zake timamu.

US anaomba poa na Iran miaka na dalili mpaa leo wanamazungumzo ya siri kule Oman. Uliza wenye akili watakuambia.

Rais wa Iran mpya alipo ingia alisema Iran na US ni kama ndugu hio ni politics sio kwamba kawaomba poa na US.

Huyo huyo Rais alisema hawana haja ya kuwa support Hezbullah leo kasema hatawacha kuwasupport.

Usiwe kila ukisikia mwenye siasa anacho ongea ukakiamini.

Nipe dalili unacho ongea mpaa pale uliposema Iran anambembeleza India ili Israel asimpige sababu sikutaka kusoma utumbo wako nimeona wote ni uwongo mtupu.
 
Heri.kuwahi mabikira 72,kuliko kwenda kupakatwa na kidume Ibrahim,kama Lazaro alivyopakatwa na huyo kidume Ibrahim.
 
Heri.kuwahi mabikira 72,kuliko kwenda kupakatwa na kidume Ibrahim,kama Lazaro alivyopakatwa na huyo kidume Ibrahim.
Lakini mbona imeandikwa: ".........alimwona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake..... ?(Luk.16:19-31) au mtu kuwa kifuani ndo kupakatwa?
 
Kwenye vita Kila kitu kinaweza tokea,it took 20 yrs for U.S to fight Taliban and last handling military devices to its enemy🤣😀😀😀
Usa hawakua na shida na Taleban, let us be clear on this, shida yao ilikua Osama Bin Laden ambaye alikua anashirikiana na Taleban pale Afghanistan, Osama wameisha muua, Taleban wa kazi gani tena?
 
huwezi kusoma kwasababu huwa mnakimbia kisomo kama kawaida yako. hata ungesoma usingeelewa, bora haujasoma kabisa.
 
Yaani Iran ni typical mswahili anaongea maneno mengi yasiyo na maana yoyote, sasa akikaa kimya halafu afanye hayo anayo jigamba kuyafanya atakuwa amepoteza nini.

Iran bure kabisa.
 
Nadhani hujamwelewa vizuri! kasema Iran inatiwa kiburi nawashilika wake, sawa na Izirael inavyopewa sapoti nawashilika wake.
 
Usa hawakua na shida na Taleban, let us be clear on this, shida yao ilikua Osama Bin Laden ambaye alikua anashirikiana na Taleban pale Afghanistan, Osama wameisha muua, Taleban wa kazi gani tena?
Kwanini hawakuondoka tu baada ya kumuua Osama ambae walikua ndio shida nae
 
Ndio matatizo ya maendeleo , mkishapata maendeleo mnaanza kutafuta mtu wa kupigana nae.
Uko sahihi mkuu. Maana sijamuona mwenye njaa anakunja ngumu kupigana, ila aliyeshiba hata kiporo tu anavitisho na mkwara kuliko dubu na simba.
 
Irani alishamwanbia USA kuwa kuanzisha vita na Irani nitapiga kwako USA Moja Kwa Moja Mimi tofauti na hao wengine ukipigana nao wanapiga katika base zako

Na USA hakuna kitu anachoogopa kama nchi yake kuwa uwanja wa vita na ndio maana Huwa anapigana na watu Kwa kuchagua nchi za wajinga wajinga ndio ziwe uwanja wa vita kama Ukraine na Israel
 
Wewe ndiyo unajua hakuna madhara kwa sababu imeamuliwa ujue hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…