Tumia akili wewe zuzu wa ccm hata kwenye vita ya pili ya dunia katika kila askari 20 wa ujerumani mrussi kaua 18 marekani na uingereza na ufaransana na nchi nyingine zite wamegawana hao askari wawili tu waliobaki ...kiufupi vitaya pili ya dunia mrusi ndiyo aliokoa dunia dhidi ya mjerumani