Iran kuishambulia Marekani

Hata Ethiopia walishawahi kuwashinda Italy kwenye vita. Wewe unadhani Italy ikipigana na Ethiopia 2024, kwamba Ethiopia itashinda tena?
Hao Vietnam wamguse Mmarekani sahivi waone moto wake
Italy inaweza kupigwa hadi na Rwanda kwa Sasa ndo maana walijisalimisha ndani ya NATO Kwa ajili ya usalama wake.
 
Hivi mjerumani alikua mtu wa aina Gani kukichafua Dunia nzima? Malengo yake alitaka nn haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…