Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Italy inaweza kupigwa hadi na Rwanda kwa Sasa ndo maana walijisalimisha ndani ya NATO Kwa ajili ya usalama wake.Hata Ethiopia walishawahi kuwashinda Italy kwenye vita. Wewe unadhani Italy ikipigana na Ethiopia 2024, kwamba Ethiopia itashinda tena?
Hao Vietnam wamguse Mmarekani sahivi waone moto wake