Harmonize wa Jf
Member
- Jan 6, 2022
- 56
- 336
Iran imesema kwamba unaweza kuishambulia Marekani iwapo tu Marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi.
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi.
Vyombo mbalimbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni Urusi, China na North Korea.
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya Marekani, Israel dhidi ya Iran.
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi.
Vyombo mbalimbali vya kijasusi vimesema kuwa iran inapewa kiburi na washirika wake wakuu waliopo pembeni ambao ni Urusi, China na North Korea.
Washirika wa Iran wapo tayari muda wote kuisaidia Iran pindi tu vita vitakapoanza baina ya Marekani, Israel dhidi ya Iran.
Huu unaweza kuwa mgogoro mkubwa utakaoleta ww3