ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Hivi Yale makelele ya Iran yameishia wapi. Mara ooh Israeli akiivamia Gaza atakuwa amevuka mstari mwekundi. Yale maneno hatuasikii tens, kuna nini?
Wanaume wapo ndani huko. Mji wa Gaza majengo yote yamebomolewa na magaidi 8000 yamekufa na wengine kujisalimisha.
Mataifa ya Kiarabu mbona yapo kimya. Wanabaki kuandamana tu lakini hakuna anaedhubutu kuingiza mguu.
Kweli Netanyahu ni Burning Spear
(Mkuki wa Moto)
Wanaume wapo ndani huko. Mji wa Gaza majengo yote yamebomolewa na magaidi 8000 yamekufa na wengine kujisalimisha.
Mataifa ya Kiarabu mbona yapo kimya. Wanabaki kuandamana tu lakini hakuna anaedhubutu kuingiza mguu.
Kweli Netanyahu ni Burning Spear
(Mkuki wa Moto)