IRAN TENA : Soka la Wanawake Iran yachezesha na Wanaume. Yaondolewa kwenye mashindano.

IRAN TENA : Soka la Wanawake Iran yachezesha na Wanaume. Yaondolewa kwenye mashindano.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Inaonekana suala la Mabwabwa lipo sana Iran. Yaani kikosi cha mpira cha team ya wanawake wamechomekwa wanaume wanne humo ndani.

Hawa jamaa inaonekana hawana maadili kabisa. Tukiwaambia watu humu JF wanakuwa wabishi na wana leta imani. Haya ni mambo ya ustaarabu mdogo sana.

Yaani wakienda mapumziko vyumba vya wanawake na wanaume wamo ndani humo humo. Au hii ni mibwabwa?mwanaume wa kawaida hawezi kubali huu upuuzi.


Screenshot_2024-10-21-12-51-03-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Inaonekana suala la Mabwabwa lipo sana Iran. Yaani kikosi cha mpira cha team ya wanawake wamechomekwa wanaume wanne humo ndani.

Hawa jamaa inaonekana hawana maadili kabisa. Tukiwaambia watu humu JF wanakuwa wabishi na wana leta imani. Haya ni mambo ya ustaarabu mdogo sana. Yaani wakienda mapumziko vyumba vya wanawake na wanaume wamo ndani humo humo. Au hii ni mibwabwa?mwanaume wa kawaida hawezi kubali huu upuuzi.
View attachment 3131486
Haaaa mbona mmakunduchi kaingia na mabasha walio vaa hijabu na ikabu kwenye msikiti kwenye alkahaba ya mtume mtukufu wa mwanyazii mungu hapa tanzania na mashehe na maustazi wakaimba kwaya ya mama anaupigwa mwingi
 
Inaonekana suala la Mabwabwa lipo sana Iran. Yaani kikosi cha mpira cha team ya wanawake wamechomekwa wanaume wanne humo ndani.

Hawa jamaa inaonekana hawana maadili kabisa. Tukiwaambia watu humu JF wanakuwa wabishi na wana leta imani. Haya ni mambo ya ustaarabu mdogo sana. Yaani wakienda mapumziko vyumba vya wanawake na wanaume wamo ndani humo humo. Au hii ni mibwabwa?mwanaume wa kawaida hawezi kubali huu upuuzi.
View attachment 3131486
Ukiachana na Jemedari tunaomba link ya hii habari tafadhali
 
Hii habari sijui nani anaileta Kila siku huku, ni ya mwaka 2015 yaani miaka 9 iliyopita na bado inabaki kua accusation tu Wala haikua official confirmed lakini mnaileta utasema ni habari ya juzi hapo

Idiots
 
Hii habari sijui nani anaileta Kila siku huku, ni ya mwaka 2015 yaani miaka 9 iliyopita na bado inabaki kua accusation tu Wala haikua official confirmed lakini mnaileta utasema ni habari ya juzi hapo

Idiots
Ndio maana nimemuomba link ameingia mitini
 
Inaonekana suala la Mabwabwa lipo sana Iran. Yaani kikosi cha mpira cha team ya wanawake wamechomekwa wanaume wanne humo ndani.

Hawa jamaa inaonekana hawana maadili kabisa. Tukiwaambia watu humu JF wanakuwa wabishi na wana leta imani. Haya ni mambo ya ustaarabu mdogo sana.

Yaani wakienda mapumziko vyumba vya wanawake na wanaume wamo ndani humo humo. Au hii ni mibwabwa?mwanaume wa kawaida hawezi kubali huu upuuzi.


Machoko
 
Hii habari sijui nani anaileta Kila siku huku, ni ya mwaka 2015 yaani miaka 9 iliyopita na bado inabaki kua accusation tu Wala haikua official confirmed lakini mnaileta utasema ni habari ya juzi hapo

Idiots
Hata kama ni ya 1980 ila ni habar ya kweli sasa unaumia kwann?
 
Hata kama ni ya 1980 ila ni habar ya kweli sasa unaumia kwann?
Kuna mtu aliileta juzi kama recent news, na ninachosema zilikua allegation Wala hazijawahi kua proved kama ni kweli na Wala hawajawahi kufungiwa, so ni fake news afu ya zamani sana

Mbona hampendi kukosolewa???
 
suala la Mabwabwa lipo sana Iran. Yaani kikosi cha mpira cha team ya wanawake wamechomeka wanaume wanne humo ndani.

Hawa jamaa hawana maadili kabisa. Tukiwaambia watu humu JF wanakuwa wabishi na wana leta imani. Haya ni mambo ya ustaarabu mdogo sana.

Yaani wakienda mapumziko vya wanawake na wanaume wamo ndani humo humo. Au hii ni mibwabwa?mwanaume wa kawaida hawezi kubali huu upuuzi.


Ndio Tanzania tumesaini makubaliano saafi kwenye sekta ya michezo.
.Waje wawafundishe hata huku jinsi ya kuchanganya jinsia.
.
Huku bongo hakuna shida. Unaweza kuwa mwanaume ukaomba walinzi wako wawe wa kike unaingia nao popote na mambo yanaenda.
 
Huyo namba kumi nishawahi kumuona humu jukwaani ni mbishi huyo akianza mambo ya Hizbulah huyoo
 
Back
Top Bottom