IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel

IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel

Tunaendelea taratibu kijana. Maana inaonekana wewe ni mweupe kichwani. Hata Tanganyika ilikuwa chini ya Uingereza baada ya vita vya kwanza vya dunia.

Baada ya Ottoman Empire kukoma ndio Eneo la Palestine likawa Chini ya Waingereza hujui hilo?

View attachment 3114849
Hapo umejibu ulichoulizwa au umeweka ramani nione?Bwana mkubwa acha vituko.Miaka 40 haujafikisha ila unapenda uitwe kizee.
 
Jadili hoja kijana. Achana na mipasho. Haina tija yoyote. Hoja yangu ni:

IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel​

Huo mkakati wewe ndiye unawaza kwamba Wazungu na Waisraeli wanaumiza vichwa.Nani alikudanganya Wazungu au Waisraeli wana hurumia Waarabu/Wapalestina?
 
Naunga mkono hoja,ni ngumu kuidunda Iran Kwa Sasa ukizingatia strait of Hormuz ambapo IPO kibarazani mwa Iran hupitisha 70% ya nishati duniani.Akiitumia vizuri hiyo kete Dunia itaingia matatizoni na ukizingatia nishati ya Urusi walishajiwekea vikwazo.
 
Uchambuzi mzuri.
Labda sijasoma Vizuri andishi, lakini nani anacheza hii victim card?

Israel ndiyo namba 1 kwenye hili, wanakalia ardhi za Wapalestina, wame-blockade Kila aina ya huduma ya kijamii, wamefurasha watu kuwa wakimbizi na hawataki warudi YET yeye anataka aonewe huruma na kupewa blank check afanye anachotaka kisa mauji ya Jews yaliyifanywa na manazi!

Two wrongs doesn't make one right!

Nije kwenye mtizamo wangu kuhus Iran -Israel war!
Israel ni favourite in every sense akisaidiwa kwa Kila jambo na US.
Yes wanaweza kupiga nuclear reactors za Iran, miundo mbinu ya mafuta nk.
But hawataweza kuyadhuvuti makombora yote ya Iran! Hapa Kuna issue, Israel ni NCHI ndogo Kila kitu kiko-concentrated kwenye maeneo madogo!
Hivyo shambulizi la kutapatapa la Iran linaweza kuwa na irreversible consequences kwa Israel!

Hii ina kumbusha scenario ya North na South Korea!
 
Naunga mkono hoja,ni ngumu kuidunda Iran Kwa Sasa ukizingatia strait of Hormuz ambapo IPO kibarazani mwa Iran hupitisha 70% ya nishati duniani.Akiitumia vizuri hiyo kete Dunia itaingia matatizoni na ukizingatia nishati ya Urusi walishajiwekea vikwazo.
Israeli ni taifa la kijinga sana hawajui mabillion wanayopewa yanatokana na uwekezaji kwenye mafuta na ges inayozalishwa hapo mashariki ya kati ..tuone kama hapo pakifungwa atapewa hata sent tano ...unakata mkono unaokulisha ww mwenyewe
 

Victim Card Strategy ni nini?​

Victim Card Strategy (mbinu ya kujifanya mwathirika) ni mbinu ambapo mtu au kundi la watu hujifanya kuwa waathirika wa hali fulani au mazingira, kwa lengo la kupata huruma, uungwaji mkono, au kuepuka lawama.

View attachment 3114765

KWA NINI IRAN HAIWEZI KUSHAMBULIWA NA MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE?​

Iran Tayari yeye yupo na hoja zake za msingi ambazo alianza kuzitoa tangu kumalizika kwa vita vya pili vya dunia. Hoja yake kuu ni kwamba mauaji ya wayahudi yaliyofanyika huko ulaya Responsible people ni wazungu kwahiyo wao walitakiwa wawatafutie wayahudi nchi yao huko huko Ulaya.

Hoja hii ya Irani haijawahi kujibiwa kokote, bali wao walilazimisha wayahudi wajengewe nchi katika ardhi ya Palestina

=> Baada ya kuangushwa kwa utawala wa kifalme wa Shah 1979, ambaye alikuwa karibu na Marekani, Iran ilijitangaza kuwa mwathirika wa uingiliaji wa nje. Iran inatumia kumbukumbu hizi kuonyesha kuwa inatetea uhuru wake dhidi ya ubeberu wa Marekani.

=> Iran imewekewa vikwazo vingi vya kiuchumi kwa sababu ya mpango wake wa nyuklia. Katika hili, Iran inadai kuwa ina haki ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani na inajiona kama taifa linalonyimwa haki hiyo na nchi zenye nguvu.

=> Iran mara kwa mara inadai kuwa wanasayansi wake wa nyuklia wanashambuliwa na nchi za Magharibi na washirika wao kama Israel, ikijitambulisha kuwa taifa ambalo linakandamizwa kimaendeleo kwa kuondolewa vipaji vyake.

=>Iran imejitambulisha kuwa mtetezi wa Wapalestina na Waislamu kwa ujumla kwa kusaidia vikundi vya Hezbollah na Hamas. Inaonyesha msaada wake kama juhudi za kuwakomboa Wapalestina kutoka kwa ukandamizaji wa Israel. Kwahiyo kuipiga Iran ni kumpiga mtetezi wa Waislam Duniani.
Iran inajenga picha ya kuwa taifa la kwanza linalopinga uwepo wa Israel, likiwakilisha sera zake kama juhudi za kuzuia upanuzi wa "ukoloni" wa Israel na Marekani. Katika hili, Iran inadai kuwa mwathirika wa njama za Israel, ambayo inaiweka katika hatari kubwa ya kushambuliwa kijeshi.

IRAN NI ILIATHILIKA WA MAENEO YAKE YA CAUCASUS KUCHUKULIWA NA URUSI​

Matukio haya yanahusiana sana na Vita vya Iran-Urusi vilivyopiganwa katika kipindi cha miaka ya 1804-1813 na 1826-1828.

View attachment 3114807

Maeneo hayo ni kuanzia Azerbaijan mpaka Georgia yalikuwa sehemu ya Iran vita vilivyopiganwa. Hadi leo, kupoteza Caucasus ni suala linaloibua hisia kali nchini Iran, kwani maeneo haya yalikuwa sehemu ya himaya ya kihistoria ya Iran kwa karne nyingi. Hisia za kuwa waathirika wa upanuzi wa Urusi zimekuwa sehemu ya kumbukumbu ya kitaifa ya Iran.

ATHARI ZA MAREKANI NA MASHIRIKA YAKE WAKIIVAMIA IRAN NAYO ITAJITETEA KWA NAMNA GANI?​

Iran inaweza kujitetea kwa nguvu kubwa dhidi ya uvamizi wa Marekani na washirika wake, ikitumia mbinu za kijeshi, washirika wake wa eneo (proxy warfare), vita vya kiuchumi, na shambulio la kidiplomasia. Athari za uvamizi huo zitakuwa mbaya sio tu kwa Iran na Marekani, bali pia kwa kanda ya Mashariki ya Kati na dunia kwa ujumla, hasa kwa kuzingatia usumbufu katika soko la mafuta na hatari ya vita vya muda mrefu.

=> Iran inaweza kutumia vikosi vya wanamaji katika Ghuba ya Uajemi, ambayo ni njia muhimu ya kusafirishia mafuta. Kwa kushambulia meli za kibiashara au za kijeshi, Iran inaweza kuvuruga biashara ya mafuta duniani, hali inayoweza kusababisha ongezeko la bei ya mafuta na kupunguza uchumi wa dunia.

=> Itazuka vita kubwa ya kidini ambayo haijawahi kutokea tangu kuubwa kwa dunia hii. Watu watachinjana kwa kupigania dini. Amani itatoweka duniani kote. Nchi kama Indonesia, Sehemu ya Russia, na nchi nyingi za Kiislam zitaiunga mkono Iran. Kuivamia Iran ni risk kubwa mno katika dunia ya sasa.

=> Iran itaweza kulipua visima vya mafuta vinavyomilikiwa na wazungu huko Saudi Arabia, Qatar na UAE. Tayari Iran walishawahi kulipua Refinery za wazungu huko Saudia.


HAYO ANAYOYASEMA NETA NYAU NI SIASA TU HAYATEKELEZEKI​

Kutuma makombora kupiga Vinu vya Nyukilia vya Iran, Visima vya Mafuta na Refanery ndani ya Iran ni ndoto za mchana kweupe. Haya mambo ni almost Imposible. Neta Nyau hana uwezo wa kufanya hivyo. Mitambo ya Nyukilia ya Iran ipo chini ya ardhi ubali wa Mita 100. Maana yake unatakiwa usafirishe ndege ivuke Zagros Mountains Waajemi wamekuangalia tu. Na slaha ya kuweza kulipua mitambo ambayo ipo 100m chini ya Ardhi kwa sasa haipo.
View attachment 3114811

HITIMISHO​

Taifa ambalo ni tishio kwa Marekani na washirika wake ni Iran. Iran yupo na victim card. Kwanza yeye ni Shia ambao ni Minority kwa Usislam. Pia yeye amejiweka ndiye mtetezi wa mataifa yote ya Kiislam. Kushambulia nchi hii risk zake ni nyingi mno.


KARIBUNI TUJADILIANE KWA STAHA
Nimesoma
Nitarudi kuweka hoja. Ngoja nikapekue shajara kwanza
 
Uchambuzi mzuri.
Labda sijasoma Vizuri andishi, lakini nani anacheza hii victim card?

Israel ndiyo namba 1 kwenye hili, wanakalia ardhi za Wapalestina, wame-blockade Kila aina ya huduma ya kijamii, wamefurasha watu kuwa wakimbizi na hawataki warudi YET yeye anataka aonewe huruma na kupewa blank check afanye anachotaka kisa mauji ya Jews yaliyifanywa na manazi!

Two wrongs doesn't make one right!

Nije kwenye mtizamo wangu kuhus Iran -Israel war!
Israel ni favourite in every sense akisaidiwa kwa Kila jambo na US.
Yes wanaweza kupiga nuclear reactors za Iran, miundo mbinu ya mafuta nk.
But hawataweza kuyadhuvuti makombora yote ya Iran! Hapa Kuna issue, Israel ni NCHI ndogo Kila kitu kiko-concentrated kwenye maeneo madogo!
Hivyo shambulizi la kutapatapa la Iran linaweza kuwa na irreversible consequences kwa Israel!

Hii ina kumbusha scenario ya North na South Korea!
Umenena vyema. Katika angle hiyo. But mimi nimeeleza katika angle kubwa zaidi. Angle ambayo ninaiongelea ni USA kuweza kuitawala mashariki ya Kati kupitia Israel Victim Card. Kitu hicho kinagonga mwamba kwa sababu Iran naye anatumia hiyohiyo Card kuweza ku Control Expansion ya USA hapo Mashariki ya kati.

Sadam Hussein aliweza kupigwa kwa sababu hakuwa na hiyo Card. Eneo la Israel kujitawala limeweza kudhibitiwa na Iran kutokana na yeye kuwa anamilki karata hii.

Malengo ya Uingereza na USA yanagonga mwamba kila siku maana Iran yupo na Upper Hand.

Israel Kushambulia direct ndani ya Iran ni risk kubwa sana. Maana Iran lengo lake kuu wala siyo hako ka nchi ka Israel. Lengo lake ni kuweza Ku-Control mashariki ya kati. Kushambulia Iran kunaweza kuzalisha mutiple impact:-
1. Economic Impact
2. Political Impact
3. Religion Impact (Iran ameapa kuwa yeye ni Mtetezi wa waislam wote) but in other hand yeye ni Shia ambaye ni against na Suni ambayo inanguvu kubwa hapo Saudia.


It is very complex kuvamia Iran
 

Victim Card Strategy ni nini?​

Victim Card Strategy (mbinu ya kujifanya mwathirika) ni mbinu ambapo mtu au kundi la watu hujifanya kuwa waathirika wa hali fulani au mazingira, kwa lengo la kupata huruma, uungwaji mkono, au kuepuka lawama.

View attachment 3114765

KWA NINI IRAN HAIWEZI KUSHAMBULIWA NA MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE?​

Iran Tayari yeye yupo na hoja zake za msingi ambazo alianza kuzitoa tangu kumalizika kwa vita vya pili vya dunia. Hoja yake kuu ni kwamba mauaji ya wayahudi yaliyofanyika huko ulaya Responsible people ni wazungu kwahiyo wao walitakiwa wawatafutie wayahudi nchi yao huko huko Ulaya.

Hoja hii ya Irani haijawahi kujibiwa kokote, bali wao walilazimisha wayahudi wajengewe nchi katika ardhi ya Palestina

=> Baada ya kuangushwa kwa utawala wa kifalme wa Shah 1979, ambaye alikuwa karibu na Marekani, Iran ilijitangaza kuwa mwathirika wa uingiliaji wa nje. Iran inatumia kumbukumbu hizi kuonyesha kuwa inatetea uhuru wake dhidi ya ubeberu wa Marekani.

=> Iran imewekewa vikwazo vingi vya kiuchumi kwa sababu ya mpango wake wa nyuklia. Katika hili, Iran inadai kuwa ina haki ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani na inajiona kama taifa linalonyimwa haki hiyo na nchi zenye nguvu.

=> Iran mara kwa mara inadai kuwa wanasayansi wake wa nyuklia wanashambuliwa na nchi za Magharibi na washirika wao kama Israel, ikijitambulisha kuwa taifa ambalo linakandamizwa kimaendeleo kwa kuondolewa vipaji vyake.

=>Iran imejitambulisha kuwa mtetezi wa Wapalestina na Waislamu kwa ujumla kwa kusaidia vikundi vya Hezbollah na Hamas. Inaonyesha msaada wake kama juhudi za kuwakomboa Wapalestina kutoka kwa ukandamizaji wa Israel. Kwahiyo kuipiga Iran ni kumpiga mtetezi wa Waislam Duniani.
Iran inajenga picha ya kuwa taifa la kwanza linalopinga uwepo wa Israel, likiwakilisha sera zake kama juhudi za kuzuia upanuzi wa "ukoloni" wa Israel na Marekani. Katika hili, Iran inadai kuwa mwathirika wa njama za Israel, ambayo inaiweka katika hatari kubwa ya kushambuliwa kijeshi.

IRAN NI ILIATHILIKA WA MAENEO YAKE YA CAUCASUS KUCHUKULIWA NA URUSI​

Matukio haya yanahusiana sana na Vita vya Iran-Urusi vilivyopiganwa katika kipindi cha miaka ya 1804-1813 na 1826-1828.

View attachment 3114807

Maeneo hayo ni kuanzia Azerbaijan mpaka Georgia yalikuwa sehemu ya Iran vita vilivyopiganwa. Hadi leo, kupoteza Caucasus ni suala linaloibua hisia kali nchini Iran, kwani maeneo haya yalikuwa sehemu ya himaya ya kihistoria ya Iran kwa karne nyingi. Hisia za kuwa waathirika wa upanuzi wa Urusi zimekuwa sehemu ya kumbukumbu ya kitaifa ya Iran.

ATHARI ZA MAREKANI NA MASHIRIKA YAKE WAKIIVAMIA IRAN NAYO ITAJITETEA KWA NAMNA GANI?​

Iran inaweza kujitetea kwa nguvu kubwa dhidi ya uvamizi wa Marekani na washirika wake, ikitumia mbinu za kijeshi, washirika wake wa eneo (proxy warfare), vita vya kiuchumi, na shambulio la kidiplomasia. Athari za uvamizi huo zitakuwa mbaya sio tu kwa Iran na Marekani, bali pia kwa kanda ya Mashariki ya Kati na dunia kwa ujumla, hasa kwa kuzingatia usumbufu katika soko la mafuta na hatari ya vita vya muda mrefu.

=> Iran inaweza kutumia vikosi vya wanamaji katika Ghuba ya Uajemi, ambayo ni njia muhimu ya kusafirishia mafuta. Kwa kushambulia meli za kibiashara au za kijeshi, Iran inaweza kuvuruga biashara ya mafuta duniani, hali inayoweza kusababisha ongezeko la bei ya mafuta na kupunguza uchumi wa dunia.

=> Itazuka vita kubwa ya kidini ambayo haijawahi kutokea tangu kuubwa kwa dunia hii. Watu watachinjana kwa kupigania dini. Amani itatoweka duniani kote. Nchi kama Indonesia, Sehemu ya Russia, na nchi nyingi za Kiislam zitaiunga mkono Iran. Kuivamia Iran ni risk kubwa mno katika dunia ya sasa.

=> Iran itaweza kulipua visima vya mafuta vinavyomilikiwa na wazungu huko Saudi Arabia, Qatar na UAE. Tayari Iran walishawahi kulipua Refinery za wazungu huko Saudia.


HAYO ANAYOYASEMA NETA NYAU NI SIASA TU HAYATEKELEZEKI​

Kutuma makombora kupiga Vinu vya Nyukilia vya Iran, Visima vya Mafuta na Refanery ndani ya Iran ni ndoto za mchana kweupe. Haya mambo ni almost Imposible. Neta Nyau hana uwezo wa kufanya hivyo. Mitambo ya Nyukilia ya Iran ipo chini ya ardhi ubali wa Mita 100. Maana yake unatakiwa usafirishe ndege ivuke Zagros Mountains Waajemi wamekuangalia tu. Na slaha ya kuweza kulipua mitambo ambayo ipo 100m chini ya Ardhi kwa sasa haipo.
View attachment 3114811

HITIMISHO​

Taifa ambalo ni tishio kwa Marekani na washirika wake ni Iran. Iran yupo na victim card. Kwanza yeye ni Shia ambao ni Minority kwa Usislam. Pia yeye amejiweka ndiye mtetezi wa mataifa yote ya Kiislam. Kushambulia nchi hii risk zake ni nyingi mno.


KARIBUNI TUJADILIANE KWA STAHA
Subiria matusi toka kwa wajaa laana wa kiyaudi wa matombo na samvulachore
 

Strait of Hormuz


1728026811350.png


Iran inatumia mchanganyiko wa mbinu za kijeshi, kisiasa, kiuchumi, na za kijasusi kudhibiti na kuwa na ushawishi kwenye Strait of Hormuz. Mbinu hizi zinajumuisha uwepo wa vikosi vya wanamaji, uwezo wa makombora, migodi ya baharini, vitisho vya kufunga mlango huo, na vita vya asymmetrical. Kwa kuwa Mlango wa Hormuz ni njia muhimu kwa biashara ya mafuta duniani, uwezo wa Iran kuathiri shughuli katika mlango huu inatoa kadi muhimu katika diplomasia na ulinzi wake dhidi ya shinikizo la kimataifa, hususan kutoka kwa Marekani na washirika wake.
 
Houthis in Yemen

1728027161466.png


Harakati ya Houthi na msaada wa Iran ni sehemu ya mkakati mpana wa Iran wa kuimarisha ushawishi wake katika Mashariki ya Kati kwa kutumia vita vya "kwa niaba" (proxy wars). Iran inatumia Houthi kudhoofisha Saudi Arabia, kuimarisha nafasi yake ya kijiografia na kisiasa katika eneo hilo, na kudhibiti njia muhimu za kibiashara, hasa Bahari ya Shamu na Ghuba ya Uajemi.
 
Houthis in Yemen

View attachment 3114864

Harakati ya Houthi na msaada wa Iran ni sehemu ya mkakati mpana wa Iran wa kuimarisha ushawishi wake katikaswa Mashariki ya Kati kwa kutumia vita vya "kwa niaba" (proxy wars). Iran inatumia Houthi kudhoofisha Saudi Arabia, kuimarisha nafasi yake ya kijiografia na kisiasa katika eneo hilo, na kudhibiti njia muhimu za kibiashara, hasa Bahari ya Shamu na Ghuba ya Uajemi.
Swali kidogo mkuu,hapana unyayo wa Mrusi hapa tukioni.?
 
Back
Top Bottom