IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel

IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel

Unaamini ulichokiandika au umejiandikia tu ili na wewe uwe victim wa kutaka sympathy ya JF?Hivi ni kipi ulianza kukisikia kati ya Izraeli na Palestina kabla haujafikisha umri wa miaka saba?Je,unaamini kwamba Israeli haikuwepo hapo kabla na imeanzishwa miaka hiyo uliyoitaja ya 1948?Amka!
Kulikua kuna wanaisrael hakukuwa na Israel.
 
Mkuuu Venus star asante kwa andiko lako zuli sana jamii yetu inaitaji kuelimishwa kwanjia kama izi lkn lkn umekosea seem iran awatetei waislam bali ni watetezi wa haki wakweli duniani kote bila kujali dini za eneo usika nchi nyingi zimesaidiwa na IRAN kaka Venus star ata Tanzania Africa kwa ujumla Asia America kusini ya kati juzi tu tumeona Venezuela ni Iran ndio alisimama imala kuwaokoa meri kazaa za mafuta watahamu w mafuta kias sasa USA anataka kwenda kuchimba mafuta baada watahamu w Iran kuifufuq sekta ya mafuta taifa la Venezuela ni wakatoriki kama wote America y kusin asilimia kubwa ni wakatoriki lkn Iran kawaekes nguvu kuwasaidia kujikomboa na makucha ya wanyonyaji. So Iran wapo kiukombozi zaid, iman zakwenu wenyewe yeye atakutetea usinyonywe au mwenyewe uchague kunyonywa kama saudi Arabia n wengine.
 
Mkuuu Venus star asante kwa andiko lako zuli sana jamii yetu inaitaji kuelimishwa kwanjia kama izi lkn lkn umekosea seem iran awatetei waislam bali ni watetezi wa haki wakweli duniani kote bila kujali dini za eneo usika nchi nyingi zimesaidiwa na IRAN kaka Venus star ata Tanzania Africa kwa ujumla Asia America kusini ya kati juzi tu tumeona Venezuela ni Iran ndio alisimama imala kuwaokoa meri kazaa za mafuta watahamu w mafuta kias sasa USA anataka kwenda kuchimba mafuta baada watahamu w Iran kuifufuq sekta ya mafuta taifa la Venezuela ni wakatoriki kama wote America y kusin asilimia kubwa ni wakatoriki lkn Iran kawaekes nguvu kuwasaidia kujikomboa na makucha ya wanyonyaji. So Iran wapo kiukombozi zaid, iman zakwenu wenyewe yeye atakutetea usinyonywe au mwenyewe uchague kunyonywa kama saudi Arabia n wengine.
Next time kagua vizuri kabla ujapost
 
Iran ipo na historia kubwa sana. Vita ya Iraq - Iran. Ilitengeneza historia mpya kwenye nchi hii ya Waajemi.
 
Wakiristo wa jf wa mbagala mbwa kachoka hawajaamka bado, wakija humu wataushambulia uislam utadhani hivi vita ni kati ya wakiristo na waislam.
Walokole WA bongo wanaweka bendera ya Israel kwenye magari yao,povu likiwatoka Israel ni taifa teule la kristo,huku idadi ya waislam Israel ni mara 9 ya wakristo.
MAPUNGUANI wakubwa,ndio mana wajanja wanachomoa Hela za kununua mandika makali na kula mabata tu,huku wakiwaahidi utajiri
Screenshot_20241004-184152.png
 
Hawa Wairan si ndio wasuni wanadai kuwa sio waislam ila ni makafiri tu.
 
Mtoa mada;
Binadanu wakiamua kitu hakuna kisichowezekana; Strait of Hormuz inachukuwa upande wa Oman na Iran.
Mafuta inaweza kusafirishwa kwa njia ya nchi kavu ikitokea kwenye hizo visima then inaingia kwenye bahari kuu ambayo Iran hana umiliki nayo.

Binadamu walitengeneza Meli ya majini wanaweza kutengeneza pia meli ya angani...sijajua unatumia kigezo gani kusema kuwa plant ikiwa 100m below the surface inashindwa vipi kupigwa na bomb? Kwani wewe unamiliki Bomb yoyote? Wakati wenye mabomu yao wanasema kuwa watayapiga na mwenye plant yake hajasema kuwa kuipiga haiwezekani.

Punguza ujuaji ndugu; wenye nguvu wanajuana.
 
Mtoa mada;
Binadanu wakiamua kitu hakuna kisichowezekana; Strait of Hormuz inachukuwa upande wa Oman na Iran.
Mafuta inaweza kusafirishwa kwa njia ya nchi kavu ikitokea kwenye hizo visima then inaingia kwenye bahari kuu ambayo Iran hana umiliki nayo.

Binadamu walitengeneza Meli ya majini wanaweza kutengeneza pia meli ya angani...sijajua unatumia kigezo gani kusema kuwa plant ikiwa 100m below the surface inashindwa vipi kupigwa na bomb? Kwani wewe unamiliki Bomb yoyote? Wakati wenye mabomu yao wanasema kuwa watayapiga na mwenye plant yake hajasema kuwa kuipiga haiwezekani.

Punguza ujuaji ndugu; wenye nguvu wanajuana.
Kama ni rahisi hivyo wangekua washafanya
 
Hawa Wairan si ndio wasuni wanadai kuwa sio waislam ila ni makafiri tu.
Sasa kwa mfano kati ya SAUDI ARABIA(SUNNI) DOLA LA KIFARME
Na IRAN(SHIA) DOLA LA KISLAM
ni nani kafiri kwa mtazamo wako

Maana ya kafiri katika uislam ni yule anayeabudu tofauti na uislam
Kwa maana haamini kuwa MUNGU mmoja na wala hakubari kuwa MUHAMMAD ni mtume wake
 
Mtoa mada;
Binadanu wakiamua kitu hakuna kisichowezekana; Strait of Hormuz inachukuwa upande wa Oman na Iran.
Mafuta inaweza kusafirishwa kwa njia ya nchi kavu ikitokea kwenye hizo visima then inaingia kwenye bahari kuu ambayo Iran hana umiliki nayo.

Binadamu walitengeneza Meli ya majini wanaweza kutengeneza pia meli ya angani...sijajua unatumia kigezo gani kusema kuwa plant ikiwa 100m below the surface inashindwa vipi kupigwa na bomb? Kwani wewe unamiliki Bomb yoyote? Wakati wenye mabomu yao wanasema kuwa watayapiga na mwenye plant yake hajasema kuwa kuipiga haiwezekani.

Punguza ujuaji ndugu; wenye nguvu wanajuana.
Maamuzi huwa yanafanywa kwa kufanya analysis. Siyo emotions
 
Maamuzi huwa yanafanywa kwa kufanya analysis. Siyo emotions


Weka akiba ya maneno mzeee .... utakuja kufungwa mdomo na hutaamini yatakayokuja kutokea. Tutarudi hapa kwenye hii thread yako kukumbusha ulichoongea.
 
Weka akiba ya maneno mzeee .... utakuja kufungwa mdomo na hutaamini yatakayokuja kutokea. Tutarudi hapa kwenye hii thread yako kukumbusha ulichoongea.
Hakuna akiba ya maneno. Fact is fact.

Wakati wa Vita vya Iraq - Iran (USA, Europe, Saudia na USSR wote walikuwa upande wa Iraq) na kipindi hicho Iran ilikuwa weak but ilishinda.

Iweje leo Iran yenye nguvu huku ikisapotiwa na Russia na Washirika kibao?

Soma historia kijana itakupa mwanga kujua future
 
Back
Top Bottom