Wa Iran wanawake kwa wanaume wamesimama imara kupigania haki zao.
Hijab haziwahusu wanaume ila haki za wanawake ni jukumu la wote. Kwetu haki zina macho. Ubinafsi umetamalaki.
"Kwetu polisi na wauwe watakavyo alimradi watasema wameuwa panya road hiyo ni sawa."
Mbaya zaidi ubinafsi huo umeota mizizi hata kwa ndugu na jamaa tuliodhani tukipigania nao katiba mpya.
Ninakazia: Sisi tatizo letu ni ujinga ambao ukikomaa sawa sawa huitwa upumbavu.
Hijab haziwahusu wanaume ila haki za wanawake ni jukumu la wote. Kwetu haki zina macho. Ubinafsi umetamalaki.
"Kwetu polisi na wauwe watakavyo alimradi watasema wameuwa panya road hiyo ni sawa."
Mbaya zaidi ubinafsi huo umeota mizizi hata kwa ndugu na jamaa tuliodhani tukipigania nao katiba mpya.
Ninakazia: Sisi tatizo letu ni ujinga ambao ukikomaa sawa sawa huitwa upumbavu.