Iran wanaposimama imara, lakini si Watanzania

Iran wanaposimama imara, lakini si Watanzania

Mkuu Nyerere hayupo. Jukumu la kuiweka nchi hii katika misingi inayokubalika kwa maslahi yetu, wanetu na hata ya watoto wa wanetu ni letu sisi leo.

Kwa hakika hii ya kwako ya kumlaumu mtu aliyefariki miaka 20 iliyopita, kwa kushindwa kwetu kufanikisha kupatikana katiba mpya ni mwendelezo ule ule wa kutotaka kuwajibika

Kwa hakika hatuna wa kumlaumu isipokuwa sisi wenyewe:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu
Kama hatupaswi kumlalamikia Mwalimu kwa mabaya aliyo tutendea mfano katiba & hili la uoga vivo hivyo hatupaswi kuzungumza kwa mazuri aliyo tutendea.

: Mwisho wa siku naungana na wewe mkuu kuwa Mwalimu amekwisha kufa tugange yajayo.
 
Kumbe basi kwa kadri hili taifa linavyozidi kuzalisha wasomi, ndivyo ambavyo linazidi kuzalisha tatizo jipya la ubinafsi, hii sijui maana yake nini, ni bora tungebaki wajinga labda tungekuwa na mabadiliko zaidi ya haya, lakini elimu tunazozipata hazitusaidii chochote, ndio zinazidi kuturudisha nyuma.

Binafsi nimewahi kuandika mada kadhaa kwenye hili. Tatizo letu si wasomi bali viongozi:

1. Ni makosa kutegemea watu wote kujitokeza kwenye ukombozi.

"Raila anazungumzia watu milioni moja ili kuwatia adabu mahakama."

2. Ni makosa kutegemea watu kutokea mabarabarani kwa ukombozi kama mvua bila kuwepo mikakati ya wazi ya nini tunataka na tunakipata je.

"Bila uongozi, umati wa watu ni sawa kondoo bila mchungaji."

3. Ni makosa kutegemea kula matunda bila kulipa gharama.

4. Ni makosa kutokutambua gharama za kulipa zinajumuisha umajeruhi, vifungo au hata vifo.

Yako makosa mengi ya kiuongozi.

Ukweli ni mchungu Lakini ni lazima usemwe:

Muda wa mapinduzi vyamani ni sasa
 
Pia mkuu unapo izungumzia Iran [ Persian ] anza kwanza kusoma historia ya Iran iliyo jaa mapinduzi na vurugu za mabadiliko toka miaka ya zamani sana, kwa hiyo hili jambo la sasa sio jipya kwa Iran.

: Historia ya Iran haina tofauti sana na historia ya China, U.S.A, Russia, France.
 
Hayo mambo yanawezakana Zanzibar kwenye wanaume wa kweli. Siyo huko bara.



 
Pia mkuu unapo izungumzia Iran [ Persian ] anza kwanza kusoma historia ya Iran iliyo jaa mapinduzi na vurugu za mabadiliko toka miaka ya zamani sana, kwa hiyo hili jambo la sasa sio jipya kwa Iran.

: Historia ya Iran haina tofauti sana na historia ya China, U.S.A, Russia, France.

Mkuu hata huku historia za mapambano ni hizo hizo:

Vita vya maji maji, Mkwawa na wajerumani, Isike na wakoloni, Milamba na wakoloni nk.

Hatutapewa tunachotaka mezani.
 
Mwalimu ana makosa yake makubwa sana juu ya huu uoga wa WATANZANIA hata yeye wakati wa uhai wake alikiri kufanya haya makosa, kitu ambacho kwa sasa matokeo yake yame kuwa makubwa yaliyo hasi mwalimu hapaswi kukwepa lawama juu ya hili kama ambavyo tuna msifia kwa mazuri yake pia kwa mabaya aliyo tenda kama hili la uoga lawama zita kuwa juu yake.

Lakini mwisho wa siku tunapaswa kusonga mbele ila kuuondoa huu uoga ni kazi iliyo ngumu sana na siku zote hakuna mabadiliko palipo jaa uoga.
Wewe ni MPUMBAVU sana. Nyerere katawala hadi 1985, CCM kangatuka 1992 halafu kafariki 1999. ujinga wako unataka kumlaumu Nyerere. Hizi ni akili au mavi kichwani
 
Mkuu hata huku historia za mapambano ni hizo hizo:

Vita vya maji maji, Mkwawa na wajerumani, Isike na wakoloni, Milamba na wakoloni nk.

Hatutapewa tunachotaka mezani.
Ni kweli kwenye meza kuna matokeo hasi hakuna matokeo chanya ya kinacho piganiwa.
 
Wewe ni MPUMBAVU sana. Nyerere katawala hadi 1985, CCM kangatuka 1992 halafu kafariki 1999. ujinga wako unataka kumlaumu Nyerere. Hizi ni akili au mavi kichwani
Ni nani mpumbavu ni mimi niliye wakilisha kile alichojutia Mwalimu kwa kufanya kwa WATANZANIA au Mwalimu ndiye mpumbavu kwa kukiri makosa yake ?
 
Wa Iran wanawake kwa wanaume wamesimama imara kupigania haki zao.

View attachment 2366261

Hijab haziwahusu wanaume ila haki za wanawake ni jukumu la wote. Kwetu haki zina macho. Ubinafsi umetamalaki.

"Kwetu polisi na wauwe watakavyo alimradi watasema wameuwa panya road hiyo ni sawa."

Mbaya zaidi ubinafsi huo umeota mizizi hata kwa ndugu na jamaa tuliodhani tukipigania nao katiba mpya.

View attachment 2366265

Ninakazia: Sisi tatizo letu ni ujinga ambao ukikomaa sawa sawa huitwa upumbavu.
Naona una hamu kuona machafuko yanatokea nchi hii. We ni mchawi hii siyo bure. Anza uchokozi wewe usishawishi watu we ngedere uanze kuonja utamu maana umechoka amani.
 
Naona una hamu kuona machafuko yanatokea nchi hii. We ni mchawi hii siyo bure. Anza uchokozi wewe usishawishi watu we ngedere uanze kuonja utamu maana umechoka amani.

Nina hamu ya katiba mpya. Siyo miye peke yangu tuko wengi.

Hiyo tutaipata kwa heri au kwa shari bila kujali walamba asali, vibaraka wao au chawa wao wangapi mnasema je.

Habari ndiyo hiyo.
 
Ni nani mpumbavu ni mimi niliye wakilisha kile alichojutia Mwalimu kwa kufanya kwa WATANZANIA au Mwalimu ndiye mpumbavu kwa kukiri makosa yake ?
Mpumbavu ni wewe ambaye bado unasingizia Mwalimu kwa failures zako za leo
 
Iran ni kati ya mataifa 10 yenye nguvu duniai
4c0w8a2f678b5424l3i_800C450.jpg
 
Back
Top Bottom