Hijab ndo nini??
Na kilemba ni nini?
Kwamba unataka kusema "wanawake wa Iran ni bora kuliko wanaume wa Tanzakiza"
Siku zote waoga hubaki duniani kuonesha makaburi ya mashujaa
Na kilemba ni nini?
Hili tatizo la uoga limetengenezwa na huyo huyo anaye sema upumbavu ni kipaji.
Mtu mwoga hufa mara nyingi kabla ya kifo cha mwisho.Kwamba unataka kusema "wanawake wa Iran ni bora kuliko wanaume wa Tanzakiza"
Siku zote waoga hubaki duniani kuonesha makaburi ya mashujaa
Mwalimu ana makosa yake makubwa sana juu ya huu uoga wa WATANZANIA hata yeye wakati wa uhai wake alikiri kufanya haya makosa, kitu ambacho kwa sasa matokeo yake yame kuwa makubwa yaliyo hasi mwalimu hapaswi kukwepa lawama juu ya hili kama ambavyo tuna msifia kwa mazuri yake pia kwa mabaya aliyo tenda kama hili la uoga lawama zita kuwa juu yake.Wakisema "mbaazi ikikosa maua husingizia jua."
Wanauawa watu na polisi - wapumbavu wanapongeza. Alaumiwe Nyerere?
Kwa hakika tunayo safari ndefu bado.
Haya mambo kuna wakati huwa nahisi yapo kwenye DNA za watu, ambapo huko nje wanazo, ila sisi hatuna, huu ukondoo wetu ni wa ajabu sana.
Nadhani inahitajika step ya kwanza, hata huko wanakoandamana kila siku, naamini nao walikuwa na mwanzo wao, sijui mwanzo wetu utakuja lini.
Kama ni DNA ndani ya watu basi aliye zipachika hizo DNA ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere , Mwinyi akafuata akaziongeza, Mkappa akajaza nyingine za kutosha , Kikwete akaongeza, Magufuli akashindilia, Samia akaongeza zake na akazimwagia maji zizidi kunawiri ndani ya WATANZANIA.Haya mambo kuna wakati huwa nahisi yapo kwenye DNA za watu, ambapo huko nje wanazo, ila sisi hatuna, huu ukondoo wetu ni wa ajabu sana.
Nadhani inahitajika step ya kwanza, hata huko wanakoandamana kila siku, naamini nao walikuwa na mwanzo wao, sijui mwanzo wetu utakuja lini.
Mwalimu ana makosa yake makubwa sana juu ya huu uoga wa WATANZANIA hata yeye wakati wa uhai wake alikiri kufanya haya makosa, kitu ambacho kwa sasa matokeo yake yame kuwa makubwa yaliyo hasi mwalimu hapaswi kukwepa lawama juu ya hili kama ambavyo tuna msifia kwa mazuri yake pia kwa mabaya aliyo tenda kama hili la uoga lawama zita kuwa juu yake.
Lakini mwisho wa siku tunapaswa kusonga mbele ila kuuondoa huu uoga ni kazi iliyo ngumu sana na siku zote hakuna mabadiliko palipo jaa uoga.
Kumbe basi kwa kadri hili taifa linavyozidi kuzalisha wasomi, ndivyo ambavyo linazidi kuzalisha tatizo jipya la ubinafsi, hii sijui maana yake nini, ni bora tungebaki wajinga labda tungekuwa na mabadiliko zaidi ya haya, lakini elimu tunazozipata hazitusaidii chochote, ndio zinazidi kuturudisha nyuma.Kumbuka vita vya maji maji, mkwawa na wajerumani nk.
Kumbuka Nyerere na Uhuru.
Mtanzania kapigania sana haki. Tatizo ni uwepo wa walio waoga leo. Wenye kutaka wao kuishi, ila kama vipi; wengine:
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Ni kama kile kitambaa cha Kichwani anachovaa Mh. Rais Samia SHHijab ndo nini??
Na ile inayofunika usoni kininja inaitwaje?Ni kama kile kitambaa cha Kichwani anachoavaa Mh. Rais Samia SH
BatmanNa ile inayofunika usoni kininja inaitwaje?