Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)

Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
 
Taifa teule Israel ubarikiwe
Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.
Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
 
Hivi unazani Iran anatamani vita na Israel? Hakuna nchi chini ya jua inatamani kupigana vita na Marekani. NAZANI WENYE AKILI WAMENIELEWA. NASEMA TENA HAKUNA SI CHINA WALA URUSI
 
Hivi unazani Iran anatamani vita na Israel? Hakuna nchi chini ya jua inatamani kupigana vita na Marekani. NAZANI WENYE AKILI WAMENIELEWA. NASEMA TENA HAKUNA SI CHINA WALA URUSI
Vipi pale Ukraine una taka kusema Marekani na washirika wake hawapo ? Pale Syria vipi hakuwepo? Na kule Afghanistan walikuwepo SWAT team sio
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Engineer wao alikuwa Nape Nauye akishirikiana na mdoli Eunice.Unategemea nini hapo?Nape akae chonjo na drones.
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Kama huna cha kuongea nyamaza.
Lile lilikua shambulio la show of force not use of force.
Iran ana highly precision guided missiles ambazo huyo Iran hawezi kuzizuia.
Wewe kaa kwa kutulia shambulio lifanyike.
Yale yaliyotumika yalikua makombora mepesi.
 
Hivi unazani Iran anatamani vita na Israel? Hakuna nchi chini ya jua inatamani kupigana vita na Marekani. NAZANI WENYE AKILI WAMENIELEWA. NASEMA TENA HAKUNA SI CHINA WALA URUSI
Vita ya Hamas ya miezi 9 imemvunjia jeshi mpaka anakamata wasoma dini wa jews orthodox akiwalazimisha wajiunge jeshi.
Akipigana na Russia si atateketea kabisa!?
China tusimuweke maana KIZAZI KIZIMA CHA ISRAEL KITAFUTWA NA DONGFENG BALLISTIC MISSILES.
 
Hivi unazani Iran anatamani vita na Israel? Hakuna nchi chini ya jua inatamani kupigana vita na Marekani. NAZANI WENYE AKILI WAMENIELEWA. NASEMA TENA HAKUNA SI CHINA WALA URUSI
Wanataman na kila siku wanachokozana we mbwiga huku baki na akili zako za kitumwa
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Weweee! Vitu avitoe wapi broo? Unataka kumkamua ng'ombe dume eti upate maziwa!
 
Kama huna cha kuongea nyamaza.
Lile lilikua shambulio la show of force not use of force.
Iran ana highly precision guided missiles ambazo huyo Iran hawezi kuzizuia.
Wewe kaa kwa kutulia shambulio lifanyike.
Yale yaliyotumika yalikua makombora mepesi.
Missile zipi tena? Hapo mwenzenu ndo kamaliza kihenge - hana cha zaidi ya hapo. Amemaliza syllabus yake.
 
Missile zipi tena? Hapo mwenzenu ndo kamaliza kihenge - hana cha zaidi ya hapo. Amemaliza syllabus yake.
Iran ana missile tofauti tofauti.
Ana light na heavy missile ambazo zipo unguided na zipo guided missiles.
Zile alizotumia May zilikua ni light unguided missiles.
Sasa ngojea atoe stock ya guided missiles halafu uone huyo myahudi wako atatobolea wapi.
Unakumbuka lile kombora alilotumia Hizbollah mwezi wa kwanza kusambaratisha kambi nzima ya Galilaya?
Sasa ndio yatatumika yale😂😂😂.
Halafu hatutarusha mengi sasa tutarusha machache tu.
 
Iran ana missile tofauti tofauti.
Ana light na heavy missile ambazo zipo unguided na zipo guided missiles.
Zile alizotumia May zilikua ni light unguided missiles.
Sasa ngojea atoe stock ya guided missiles halafu uone huyo myahudi wako atatobolea wapi.
Unakumbuka lile kombora alilotumia Hizbollah mwezi wa kwanza kusambaratisha kambi nzima ya Galilaya?
Sasa ndio yatatumika yale😂😂😂.
Halafu hatutarusha mengi sasa tutarusha machache tu.
Mbona Myahudi alishamsoma game lake na anajua fika namna ya kumkabili.
Iran kuwa na aina tofauti tofauti za missiles sio shida. Je, anayo akili, ujuzi na ujasiri wa kuzitumia? Wale walio kuwa nguli wa kuzitumia mbona walishawahishwa huko kwa allah wenu wanashughuli nzito kwa mabikra 72 na mito ya pombe?
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)😀😀😀😀😀😀
 
Mbona Myahudi alishamsoma game lake na anajua fika namna ya kumkabili.
Iran kuwa na aina tofauti tofauti za missiles sio shida. Je, anayo akili, ujuzi na ujasiri wa kuzitumia? Wale walio kuwa nguli wa kuzitumia mbona walishawahishwa huko kwa allah wenu wanashughuli nzito kwa mabikra 72 na mito ya pombe?
😂😂😂😂😂Yani Hizbollah awe na akili za kutumia hayo makombora halafu Iran anayemsaidia Hizbollah asiwe na akili ya kutumia hayo makombora!?
Hiyo Hizbollah ana uwezo wa kupenyeza makombora Israel kwa uwezo wa Iran.
Stay tuned mzee.
 
😂😂😂😂😂Yani Hizbollah awe na akili za kutumia hayo makombora halafu Iran anayemsaidia Hizbollah asiwe na akili ya kutumia hayo makombora!?
Hiyo Hizbollah ana uwezo wa kupenyeza makombora Israel kwa uwezo wa Iran.
Stay tuned mzee.
Lakini master mind wao I.Han..... si hayupo? Na yule mwengine (nimesahau jina) naye si hayupo? n.k.n.k. Wewe huoni upungufu kwa hilo kukosekana kwao? Waliobako ni copy sio og.
 
Lakini master mind wao I.Han..... si hayupo? Na yule mwengine (nimesahau jina) naye si hayupo? n.k.n.k. Wewe huoni upungufu kwa hilo kukosekana kwao? Waliobako ni copy sio og.
Jeshini mkuu lazima kuwe na mbadala.
Na aliyekufa ni Political leader wa Hamas.
Fuad Shukr ni kamanda wa pili sio wa kwanza.
Anyway time will tell.
 
Hivi unazani Iran anatamani vita na Israel? Hakuna nchi chini ya jua inatamani kupigana vita na Marekani. NAZANI WENYE AKILI WAMENIELEWA. NASEMA TENA HAKUNA SI CHINA WALA URUSI
Ingekuwa ni nchi nyingine sio Russia imeivamia Ukraine ungeona USA na washirika wake wameingia kama Libya. Ila ndio hivyo wanaishia kutoa msaada wakiwa mbali sana.

Si unaona China inavyosogezewa air craft carrier mara kwa mara kwa sababu ya Taiwan, jiulize kwanini hizo air craft carrier hazisogei kule karibu na Russia utapata jibu.
 
Back
Top Bottom