Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)

Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)

Ingekuwa ni nchi nyingine sio Russia imeivamia Ukraine ungeona USA na washirika wake wameingia kama Libya. Ila ndio hivyo wanaishia kutoa msaada wakiwa mbali sana.

Si unaona China inavyosogezewa air craft carrier mara kwa mara kwa sababu ya Taiwan, jiulize kwanini hizo air craft carrier hazisogei kule karibu na Russia utapata jibu.
Sikatai kwa hiyo wew una majibu ya moja kwa moja zikipigwa kati ya Marekani na Urusi anapigwa Marekani?
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Zitatumwa ICBM mkuu andaa pamba za kuziba masikio maana milio ya Wayahudi itakua mikali kwa maumivu
 

Attachments

  • IMG_20240801_110426.jpg
    IMG_20240801_110426.jpg
    39.4 KB · Views: 3
Ingekuwa ni nchi nyingine sio Russia imeivamia Ukraine ungeona USA na washirika wake wameingia kama Libya. Ila ndio hivyo wanaishia kutoa msaada wakiwa mbali sana.

Si unaona China inavyosogezewa air craft carrier mara kwa mara kwa sababu ya Taiwan, jiulize kwanini hizo air craft carrier hazisogei kule karibu na Russia utapata jibu.
Na hizo aircraft carrier zenyewe hazisogelei mipaka ya China.
 
Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.

Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Vyako vipo wapi?
 
Back
Top Bottom