Sikatai kwa hiyo wew una majibu ya moja kwa moja zikipigwa kati ya Marekani na Urusi anapigwa Marekani?Ingekuwa ni nchi nyingine sio Russia imeivamia Ukraine ungeona USA na washirika wake wameingia kama Libya. Ila ndio hivyo wanaishia kutoa msaada wakiwa mbali sana.
Si unaona China inavyosogezewa air craft carrier mara kwa mara kwa sababu ya Taiwan, jiulize kwanini hizo air craft carrier hazisogei kule karibu na Russia utapata jibu.
Zitatumwa ICBM mkuu andaa pamba za kuziba masikio maana milio ya Wayahudi itakua mikali kwa maumivuSafari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.
Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.
Hakutakuwa na mshindi. Au unadhani nani atashinda?Sikatai kwa hiyo wew una majibu ya moja kwa moja zikipigwa kati ya Marekani na Urusi anapigwa Marekani?
Hoja yangu ilikuwa hakuna taifa lolote chini ya jua linatamani kupigana na MarekaniHakutakuwa na mshindi. Au unadhani nani atashinda?
Aiseee,kumbe na wewe wamoKikombora kinanasa kwenye nguzo ya umeme......
Hiyo sio hoja, ni mawazo yako tu. Kwani kuna taifa lolote linalotamani kupigana vita na Russia?Hoja yangu ilikuwa hakuna taifa lolote chini ya jua linatamani kupigana na Marekani
Na hizo aircraft carrier zenyewe hazisogelei mipaka ya China.Ingekuwa ni nchi nyingine sio Russia imeivamia Ukraine ungeona USA na washirika wake wameingia kama Libya. Ila ndio hivyo wanaishia kutoa msaada wakiwa mbali sana.
Si unaona China inavyosogezewa air craft carrier mara kwa mara kwa sababu ya Taiwan, jiulize kwanini hizo air craft carrier hazisogei kule karibu na Russia utapata jibu.
π€£π€£π€£π€£π€£Iran Wasituletee Vikombola Vyao vile Vyenye speed ya Bajaj(Masaa manane viko angani)ππππππ
Vyako vipo wapi?Safari hii tunataka kuona uwezo wao. Nyuma hapo walituletea vidrone na vikombola vyao masaa manane viko angani.
Viliishia Njiani tu. Huwezi kumpiga mu Israeli kwa kutumia vile vitoi.
Safari hii tunataka kuona vitu.
LA sivyo aache kupiga makelele.