Iran wawaambia Urusi kuwa ni wanafiki - Wamewaacha peke yao kwenye shida

“On the night Israel attacked us, our military’s defense system stood alone, completely alone" There were only 90 million of us to the 'overwelming' 7 milliona of them. We didn't stand a chance. 🤔
Ukiongezea tena na kipigo chenyewe cha mbwa koko kutolewa na kinamama na kina shangazi wa Idf, si ni dharau kubwa sana hiyo!
 
Hivi bro unatumia ubongo wako kufikiria kweli? Hebu vuka mpaka nenda japo bondeni kwa Madiba Katoe tongotongo,toka huko Ikwilili. Kuna Malema kule na waafrika waliojanjaruka.
Kweni Umkonto we Sizwe walikuwa wanapigania kuwafuta Boers na Wazungu wengine katika Ardhi ya South Africa?!
 
Kwamba Allah alikuwa kalala wakati Iran inapokea kichapo heavy?

Mungu kashindwa kujiokoa

Matthew 27:39-44 New Living Translation (NLT)
“You said you were going to destroy the Temple and rebuild it in three days. Well then, if you are the Son of God, save yourself and come down from the cross!” The leading priests, the teachers of religious law,
 
Muwe mnahoji kwa style hii hii inapoletwa habari ya kukandia waisraeli.
 
Mrusi anajua kuwa Iran inafanya makosa kufadhili vikundi vya kigaidi ili kuidhuru Israel. Warusi wengi hususan wataalamu wa silaha na sayansi ni Waisraeli.
 
Ebu tuambie katika hii habari yako ndefu ni kiongozi gani wa serikali ya Iran ameilaumu Urusi? lete hiyo kauli ya kiongozi yeyote wa serikali ya sasa akilaumu uhusiano wao na Urusi
 
Mrusi anajua kuwa Iran inafanya makosa kufadhili vikundi vya kigaidi ili kuidhuru Israel. Warusi wengi hususan wataalamu wa silaha na sayansi ni Waisraeli.
Achana na udaku , Urusi anajua kuilinda Iran ni kujilinda yeye pia, Iran ana umuhimu mkubwa kwa Urusi kwa mambo yalivyo sasa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…