Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Wizara ya Mambo ya Nje nchini Iran imewashauri Wairani dhidi ya kufanya safari zisizo za lazima nchini Ufaransa huku kukiwa na machafuko yanayoendelea.
Pia Wizara hiyo imeishauri polisi na serikali ya Ufaransa kujizuia kutumia mabavu kutuliza vurugu zinazoendelea na kuzingatia matakwa ya waandamanaji, kuheshimu uhuru wao wa kujieleza na haki yao ya kuandamana.