Tokea mwaka jana mwishoni vikwazo vya silaha vilipoisha kwa Iran,Iran imeonesha drone mpya iitwayo Gaza Doha yenye uwezo wa kutembea maili 1200 sawa na kilometa 2000 na yenye uwezo wa kubeba mabomu mpaka 13.
Tutarajie mpinzani mwingine katika soko la uuzaji silaha.
Pia hii itakua fursa kwa mataifa ya kiarabu kupata silaha toka kwa Mmashariki wa kati mwenzao kwa bei nafuu na zenye ubora zaidi.
Tutarajie mpinzani mwingine katika soko la uuzaji silaha.
Pia hii itakua fursa kwa mataifa ya kiarabu kupata silaha toka kwa Mmashariki wa kati mwenzao kwa bei nafuu na zenye ubora zaidi.