Iran yabadili gia angani kuwashughulikia moja kwa moja wahusika mauaji ya Haniyeh badala ya kuishambulia Israel

Iran yabadili gia angani kuwashughulikia moja kwa moja wahusika mauaji ya Haniyeh badala ya kuishambulia Israel

Sasa "gia" aliyobadilishwa angani ni ipi hapo?

Wamesema wazi toka mwanzo, kila aliyehusika atashughulikiwa. pia wamesema wazi kuwa Israel anachochea wengine wajiingize kwenye vita wakati yeye hawezi kupigana.

Hivi ni nini usichokielewa hapo?
 
Yale makundi ya wanadiplomasia wa Russia waliokuwa wanaenda Iran kwa mda wa wiki moja ndiyo walio pewa jukumu la kutuliza mambo...

Marekan na washirika wake waliwaomba Urus wakaongee na Iran wasitishe kisasi kwa Israel..

Sharti la Urus kukubali hlo deal ni Marekan na washirika wake wakubali kubadilishana wafungwa na Russia
 
Sasa "gia" aliyobadilishwa angani ni ipi hapo?

Wamesema wazi toka mwanzo, kila aliyehusika atashughulikiwa. pia wamesema wazi kuwa Israel anachochea wengine wajiingize kwenye vita wakati yeye hawezi kupigana.

Hivi ni nini usichokielewa hapo?
Hi mijinga sana mijitu ya kanisani.
 
Yale makundi ya wanadiplomasia wa Russia waliokuwa wanaenda Iran kwa mda wa wiki moja ndiyo walio pewa jukumu la kutuliza mambo...

Marekan na washirika wake waliwaomba Urus wakaongee na Iran wasitishe kisasi kwa Israel..

Sharti la Urus kukubali hlo deal ni Marekan na washirika wake wakubali kubadilishana wafungwa na Russia
Hamna lolote Iran lazima alipe tu ndio mana wanamuambia apige sehemu isiwadhuru Israel afu ofa walizo mpa ni kuondoa sunction, kusimamisha vita vya Gaza na mengine chini ya uvungu hasara zote za Hezbullah, Yemen, Palestine watalipa na juu ya hopo mnono wa billion atapewa. Je Iran atakubali??
 
Nyie kalinieni Iran imebadili gear angani, kipigo cha mbwa koko kinakuja tu. tena kwa tarifa yako Iran kapewa offers nyingi sana. US kamuambia ataondoa sijui sunction. Iran kasema no way kipigo lazima kiwepo.

Nilikuwa namsikia General mmoja wa US akisema kwenye tv channel moja ya Iraq, eti US atampiga Iran kipigo na pia atamfanyia sunction mpaa atajuta, akajibiwa na muiran kwenye hio hio TV channel, Iran haogopi na US ndio wapige hesabu zao vizuri, akasema hapo Gulf US ana askari zaidi ya 45000 ajiandae kubeba maiti na asahau kama kuna base itabaki hapo Gulf.

Iran kasema hakuna deal kwenye damu, kipigo cha mbwa koko lazima akipokee Israel. Watake wasitake. Tena safari hi wanapiga kwenye mshono kabisa. Iran atapiga Ministry of Defence na Mossad pale Tela Aviv, na sehemu ambazo kisha zipinpoint ndio target ya kuzipiga

Mimi nawashauri Iran, Hezbullah, Al Hourh na Syria pia, hi ndio time ya kuimaliza Israel hapo Middle East, msikubali ofa za mabillion kutoka Qatar, US, UAE na Saud Arabia pesa hizo wachieni wao, sisi tunataka kuona waisrael wanapokea kichapo tu ndio roho zetu zitakuwa bariiiidiiiiii.
Ushavimbiwa urojo hapa unahara tu.
Wenyewe wanakataa we muiran wa nangulukulu unataka ukapigane wewe?
 
Hamna lolote Iran lazima alipe tu ndio mana wanamuambia apige sehemu isiwadhuru Israel afu ofa walizo mpa ni kuondoa sunction, kusimamisha vita vya Gaza na mengine chini ya uvungu hasara zote za Hezbullah, Yemen, Palestine watalipa na juu ya hopo mnono wa billion atapewa. Je Iran atakubali??
Iran awape masharti? teh teh
 
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa mpya kabisa kutoka Tehran

Serikali ya Iran imebadili gia angani. Sasa inafikiria kuwashughulikia moja kwa moja waliohusika na mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Hamas Ismail haniyeh badala ya kuishambulia Israel

Watuhumiwa wa mauaji hayo wakiwemo waliomo kwenye vyombo vya Usalama Iran pamoja na mossad watashughulikiwa na Iran mojawapo.

Waziri mambo nje wa Pakistan ameishauri Iran kuwa kifo cha haniyeh lazima kisasi kilipwe ila wajiepushe kutimiza ndoto au agenda ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau anayetaka kuleta vita kubwa Mashariki ya kati.

Taarifa kamili hapo chini:

=============

The Times of Israel is liveblogging Friday’s events as they happen.

Report: Tehran may go after individuals responsible for killing Haniyeh rather than attacking Israel. An unverified image of the Tehran building where Hamas chief Ismail Haniyeh was killed on July 31, 2024. (Social media, used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)

An unverified image of the Tehran building where Hamas chief Ismail Haniyeh was killed on July 31, 2024. (Social media, used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)

Iran may choose to target the individuals it believes are responsible for the assassination of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran last week, rather than launching an attack on Israel, The Guardian reports.

According to the report, Tehran could retaliate for the assassination of Haniyeh, which it has blamed on Israel despite Jerusalem neither confirming nor denying responsibility, by targeting people it believes to be working with or members of Israel’s Mossad security agency.

Reports following Haniyeh’s death have claimed that Mossad agents enlisted operatives from within Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps to plant explosives in the room the Hamas chief was staying in for the swearing-in ceremony of new Iranian President Masoud Pezeshkian.

Tehran is weighing its options as it faces intense diplomatic pressure not to escalate tensions in the region in any way that could result in an all-out war.

During a meeting of the Organisation of Islamic Cooperation called by Iran Wednesday to discuss the assassination, Pakistan’s foreign minister was said by the Guardian to have voiced opposition to an Iranian attack on Israel, and said that while Haniyeh’s death must be answered for, Iran “must not fulfill (Prime Minister) Benjamin Netanyahu’s design for a wider war.”
Zamani ilikuwa jf ukiandika taarifa za uongo huo Uzi wako unafutwa lakini sasa hv Moderator km wameisusa jf mtu anaweza kukaa akajitungia habari akaiweka
 
Back
Top Bottom