magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Mzushi nani sasa, mleta mada au Iran?Case closed haifunguliwi tena.. final report ilishatoka.. acheni uzushi... kabla ya uchumguzi labda kama walisahau kusema inshallah...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzushi nani sasa, mleta mada au Iran?Case closed haifunguliwi tena.. final report ilishatoka.. acheni uzushi... kabla ya uchumguzi labda kama walisahau kusema inshallah...
Auwawe tuMwambieni na yule mtu wenu aliyejinasibu kujibizana na mabalozi wa Hawa watu kwamba achukue tahadhari kubwa sana dhidi ya hao Watu, ikiwezekana aitishe press nyingine ili awaombe msamaha. Mwenzako akinyolewa zako tia maji. Kiburi si maungwana!
Huyu Polisi walitengeneza hizi chats , wakawachukua akina steve nyerere waigize sauti za viongozi wa CHADEMA kuwa wanawasiliana wakipanga mipango ya kuanzisha vurugu wakampelekea, na yeye kichwakichwa ndiyo akasimama hadharani kujisifu keamba nchi ina intelijensia kaliMwambieni na yule mtu wenu aliyejinasibu kujibizana na mabalozi wa Hawa watu kwamba achukue tahadhari kubwa sana dhidi ya hao Watu, ikiwezekana aitishe press nyingine ili awaombe msamaha. Mwenzako akinyolewa zako tia maji. Kiburi si maungwana!
Mleta mada sababu Iran hawajasema anachosema yeye... kachota tu kitaani.. hakuna official press kuhusu jambo hilo.. so hii thread ipelekwe Jamii checkMzushi nani sasa, mleta mada au Iran?
Aikane acount ya Instagram ikiwa si yake.Fake news hata Press TV haipo