Mwambieni na yule mtu wenu aliyejinasibu kujibizana na mabalozi wa Hawa watu kwamba achukue tahadhari kubwa sana dhidi ya hao Watu, ikiwezekana aitishe press nyingine ili awaombe msamaha. Mwenzako akinyolewa zako tia maji. Kiburi si maungwana!
Mwambieni na yule mtu wenu aliyejinasibu kujibizana na mabalozi wa Hawa watu kwamba achukue tahadhari kubwa sana dhidi ya hao Watu, ikiwezekana aitishe press nyingine ili awaombe msamaha. Mwenzako akinyolewa zako tia maji. Kiburi si maungwana!
Huyu Polisi walitengeneza hizi chats , wakawachukua akina steve nyerere waigize sauti za viongozi wa CHADEMA kuwa wanawasiliana wakipanga mipango ya kuanzisha vurugu wakampelekea, na yeye kichwakichwa ndiyo akasimama hadharani kujisifu keamba nchi ina intelijensia kali