Iran yakanusha kuhusika na jaribio la Mauaji ya Donald Trump

Iran yakanusha kuhusika na jaribio la Mauaji ya Donald Trump

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Serikali ya Iran imekanusha madai ya Idara za Usalama za Marekani kuwa nchi hiyo ilihusika na jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa zamani na Mgombea Urais wa Republican, Donald Trump ambaye alinusurika katika shambulio la risasi iliyomjeruhi Sikio Julai 13, 2024.

Inaelezwa kuhusishwa kwa Iran katika shambulio hilo kunatokana na kinachodaiwa kuwa ni hatua za Kisasi dhidi ya Trump wakati akiwa Rais aliagiza Vikosi vya Jeshi la Marekani vifanye shambulio la Anga katika Uwanja wa Ndege wa Baghdad na kumuua kiongozi wa Jeshi la Iran, Qasem Soleimani Januari 2020.

Soma Pia:




Iran’s mission to the U.N. denies assassination plot​


Iran’s mission to the United Nations today denied allegations of an Iranian assassination plot against Trump.
“These accusations are unsubstantiated and malicious,” the Permanent Mission of the Islamic Republic of Iran to the United Nations said in a report from the state-run news agency IRNA.

The Biden administration obtained intelligence about the plot in recent weeks, and the information led the Secret Service to ramp up security around Trump, three U.S. officials with knowledge of the matter said.
Iran considers Trump a criminal, the report in IRNA said.

“Trump is a criminal who must be prosecuted and punished in a court of law for ordering the assassination of General Soleimani,” the mission said in the IRNA report. “Iran has chosen the legal path to bring him to justice.”

The United States received intelligence in recent weeks about an Iranian plot to assassinate former President Donald Trump, CNN said on Tuesday, and a U.S. official said the Secret Service shared details of an increased threat with the Trump campaign.

The White House declined to comment, but said there were no indications that the suspected shooter in Saturday's attempted assassination of Trump had any foreign or domestic accomplices.

Iran said the accusations against it were "unsubstantiated and malicious."

U.S. officials have for years worried that Tehran would retaliate against Trump for his ordering of the January 2020 killing of Iranian military commander Qassem Soleimani.

“As we have said many times, we have been tracking Iranian threats against former Trump administration officials for years, dating back to the last administration," said Adrienne Watson, spokesperson for the White House National Security Council.

"These threats arise from Iran’s desire to seek revenge for the killing of Qassem Soleimani. We consider this a national and homeland security matter of the highest priority," she said.

CNN reported that the intelligence about the Iranian plot was passed on by a human source.
A U.S. official said that on learning of the increased threat, the National Security Council contacted the Secret Service, which added resources and assets for Trump's protection.

The Trump campaign was also made aware of an evolving threat, the official said.
In a statement to Reuters, Iran's mission to the United Nations in New York said "these accusations are unsubstantiated and malicious."

"From the perspective of the Islamic Republic of Iran, Trump is a criminal who must be prosecuted and punished in a court of law for ordering the assassination of General Soleimani. Iran has chosen the legal path to bring him to justice," Iran's statement said.

The Secret Service has been sharply criticized since the 20-year-old gunman who shot at Trump on Saturday was able to access a roof overlooking the rally and open fire, grazing Trump's ear, killing a rallygoer and wounding two other attendees.

President Joe Biden has ordered an independent review of how the gunman could have come so close to killing Trump, and the Secret Service also faces probes from Congress.

REUTERS
 
Michezo yao wenyewe humo ndani,sema anatafutwa wa kubebeshwa zigo,ila ni humo humo ndani kwao.Maana kwa vikwazo anavyo wekewa Trump,wakichimba sana wanaweza wakakuta ni watu wa humo humo ndani.
 
Ukitoa uwezo wa Mungu basi viumbe vyote vilivyobakia uwezo wao unakua na kikomo
Tunazidiana katika kutumia akili zetu kiongozi

Na bila shaka tunakubaliana kwamba, waafrica uwezo wao wa kifikiri na kutenda uko chini sana chief ukilinganisha na rangi zingine
 
Tunazidiana katika kutumia akili zetu kiongozi

Na bila shaka tunakubaliana kwamba, waafrica uwezo wao wa kifikiri na kutenda uko chini sana chief ukilinganisha na rangi zingine
Bado umeruka point ya msingi tukubaliane kwanza kwamba kweli ama si kweli kua uwezo wa kila mtu una kikomo awe nani au nani!
 
Back
Top Bottom