imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Iraq ilivamia Khafji Saudi Arabia Saudi Army ikawatimulia mbali.Iraq alisaidiwa na warabu karibu wote na hakushinda vita 😄
Google the Battle of Khafji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iraq ilivamia Khafji Saudi Arabia Saudi Army ikawatimulia mbali.Iraq alisaidiwa na warabu karibu wote na hakushinda vita 😄
Kinacho wabeba IRAN ni US $ anazochapisha mwenyewe na zinapita kwenye machine kama kibamia kivyopita kwenye bwawa la changudoa.Samahani lakini, hii nchi sasa inaenda kuyumba kiuchumi, uchumi wake upo kwenye mafuta kwa sasa inakabiliwa na migogora ya kuanguka kwa thamani ya sarafu yake, nadhani hali itaenda kwa mabaya zaidi kwa wananchi na kama ikiendeleza migogora na Israel kuna uwezekano wa vituo vya mafuta vinavyobeba uchumi wa irani kulipuliwa
Unaongea kutokea huko maji matitu mambo sio marahisi hivyo kam unavyofikiri Iran inavikwazo kw zaidi miaka 30 hivyo na wamefika hapo walipo .wanazalisha vitu vyao na ushurikiano wa component kutoka ChinaSamahani lakini, hii nchi sasa inaenda kuyumba kiuchumi, uchumi wake upo kwenye mafuta kwa sasa inakabiliwa na migogora ya kuanguka kwa thamani ya sarafu yake, nadhani hali itaenda kwa mabaya zaidi kwa wananchi na kama ikiendeleza migogora na Israel kuna uwezekano wa vituo vya mafuta vinavyobeba uchumi wa irani kulipuliwa
Vipi ukubwa wa Tz na Kenya??Kwa takwimu hizi kama nikweli basi Iran ijipange sana make kwa ukubwa wa Iran sio yakwenda level Moja na Israel
Hawa majaamaa wenye imani ya mafarisayo ni shidaa.....Ila Mwanakondoo ameshinda na tumfwate mwanakondooTa
Taifa lina jeshi dunia nzima alafu unasema ni picnic
Tz na Kenya hatujaachana mbali kihivyo, tunakaribiana tofauti sana na Israel na IranVipi ukubwa wa Tz na Kenya??
Bajeti ya marekani siyo ya kimkakati ni pikiniki nyingi ...tumia akili
Na kwa watu wa kiswahili jee?$30b wakati USA budget ni 800b Kwa watu wa hesabu ni kama mara 25+
Kuna reporter mmoja kutoka Iran alikuwa anahojiwa Aljazeera yote uliyoyaandika ndio aliyoyasemaSamahani lakini, hii nchi sasa inaenda kuyumba kiuchumi, uchumi wake upo kwenye mafuta kwa sasa inakabiliwa na migogora ya kuanguka kwa thamani ya sarafu yake, nadhani hali itaenda kwa mabaya zaidi kwa wananchi na kama ikiendeleza migogora na Israel kuna uwezekano wa vituo vya mafuta vinavyobeba uchumi wa irani kulipuliwa