Iran yashika meli ya Marekani jirani na Oman. Ni kulipiza kisasi dhidi ya ubabe wa US

Iran yashika meli ya Marekani jirani na Oman. Ni kulipiza kisasi dhidi ya ubabe wa US

wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Naona kijana unaota, hao wazungu wako, Obama na Taliban wameifundisha dunia namna ya kuwashinda, sasa hivi hawana ujanja tena, wanayumia ubabe wa kizamani.

Watu wanawarushia chambo cha drone ya dollar 50oo wao wanatumia missile ya dollar million 1 au zaidi kuipiga.

Kuiwacha hawawezi, wakiiwacha ikiwadonyoa moto unawaka kweli.

Dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.
 
Bila kumdhibiti Ayatola Direct migogoro ya Mashariki ya Kati haitakaa iishe.
Wakumdhibiti nani sasa

Israhell anaehangaishwa na hamas mwezi wa nne huu

Americant na Uingereza hawa wanaodai kumaliza nguvu za houthi kwa shambulii la jana moja

Americant na Uingereza wameona sisi wajinga sana mbwa wale
 
Naona kijana unaota, hao wazungu wako, Obama na Taliban wameifundisha dunia namna ya kuwashinda, sasa hivi hawana ujanja tena, wanayumia ubabe wa kizamani.

Watu wanawarushia chambo cha drone ya dollar 50oo wao wanatumia missile ya dollar million 1 au zaidi kuipiga.

Kuiwacha hawawezi, wakiiwacha ikiwadonyoa moto unawaka kweli.

Dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.
Kwamba kwa uelewa wako kule afghanistan kulikuwa na vita kati ya taliban na usa halafu usa akashindwa akakimbia.....bangi mnaisingizia tu
 
Naona kijana unaota, hao wazungu wako, Obama na Taliban wameifundisha dunia namna ya kuwashinda, sasa hivi hawana ujanja tena, wanayumia ubabe wa kizamani.

Watu wanawarushia chambo cha drone ya dollar 50oo wao wanatumia missile ya dollar million 1 au zaidi kuipiga.

Kuiwacha hawawezi, wakiiwacha ikiwadonyoa moto unawaka kweli.

Dunia ya leo siyo ya miaka 30 nyuma.
Nadhani unaota, angalia usije lowesha godoro!

MTEJA NI MFALME, KARIBU TENA KESHO.
 
Americant na Uingereza hawa wanaodai kumaliza nguvu za houthi kwa shambulii la jana moja
Shambulio la jana lilikuwa ni warning kwa Wahouthi waache kushambulia Meli za Mafuta na Mizigo.

Kumbuka mfumuko wa bei ulikuwa umeanza kushuka baada ya Covid19 na RussoUkraina sasa hawa watafuna mirungi wanataka sisi watu wa kawaida tuishi vipi?
 
Kiboko ya mmarekani Kwa upande wa vita ni Mrusi lakini kiboko ya mmarekani kwenye mambo ya kishenzi kama kutekana, kutekeana Mali kama meli za mizigo mafuta basi mwingine ni muajemi a.k.a Muiran na muingereza aliwahi kutaka kuvimbiana na Muirani kwenye ishu kama hizi alikimbia mwenyewe.
Tujiulize hivi mnadhani ni rahisi uteke au ukamate meli ya USA halafu ubaki unapumua? Wale mnaosema USA hachezewi labda Kwa nchi kama Burundi Malawi lakini wapo wanaume hapa duniani ambao US akileta za kuleta nao wanamletea noma.
 
Shambulio la jana lilikuwa ni warning kwa Wahouthi waache kushambulia Meli za Mafuta na Mizigo.

Kumbuka mfumuko wa bei ulikuwa umeanza kushuka baada ya Covid19 na RussoUkraina sasa hawa watafuna mirungi wanataka sisi watu wa kawaida tuishi vipi?
Tutajijua wenyewe tutakavyoishi ila israhell maadam anaua watu ghaza sahau meli kupita na kutoka ama kuingia israhell

Vipi baada ya hio warning kuna meli zozote ziliingia ama kutoka israhell mzee???
 
Kiboko ya mmarekani Kwa upande wa vita ni Mrusi lakini kiboko ya mmarekani kwenye mambo ya kishenzi kama kutekana, kutekeana Mali kama meli ...
Yaani Americant kuna watu akiwazingua tu nawao wanamzingua tena ile zingu zingu yaanj
 
Back
Top Bottom