Iran yatishia kuzishambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati

Hayo ni maToy tuu mbona Iran kapiga hizo base na wameshindwa kutungua hayo makombora?
 
Ukisikia napiga yope huwezi napiga hope huwezi ndio hii ya Muiran yani katoa tahadhari kabla ya kufyatua nina hamu sana ya kuliona jibu la marekani kama safari hii atafanya shambulio ndani ya Iran au atavizia jenereli mzee anayekaribia kustaafu aende Iraq amlipue
 
Iran has again warned regional dictators
If any country in Persian Gulf - #UAE #SaudiArabia and others allow US military installations to be used in any attack on Iran THOSE REGIMES WILL BE ENDED - They must pull back now
- Prof Mohamad Marandi
#AxisOfResistance #IranAttacks Nardeep Pujji on Twitter

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…