Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Una mbwembwe
BREAKING: Rais wa Marekani, Donald Trump kulihutubia taifa hivi punde.
Tusubiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BREAKING: Rais wa Marekani, Donald Trump kulihutubia taifa hivi punde.
Tusubiri!
Vuta subira.
Hahaha, msije leta za kibong bongo, maana wapinzani eti wanatamani vita. Mwenye exposure ya nje ya nchi au wale wanaoishi pembezoni mwa Tanzania sehemu hasa za wakimbizi watakuambia vita si jambo jema kabisa. Na vita kama hii ya kitechnolojia ikianza shida yake ni kuathiri vitu vingi, mfano ndege zote za wazungu zinaweza kuwa zinatekwa etc au kama ile ya Malesia ndani ya Ukraine na RussiaAcha kwanza tuone kidogo tushachoka na maneno maneno tunataka vitendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anatishia tuUnatishia wakati mwenzako anafanya kweli?
We subir kinuke tu huko.... Sijui utauleta tena kwa njia gan huo ujumbe wako
Bila shaka Marekani wameshadukua mitambo ya vinu vya nyuklia kutokea eneo la Pentagon. Muda si mrefu Iran itajaa vumbi.Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 'Magnitude' 4.9 limelikumba eneo la kusini mashariki mwa Borazjan nchini Iran karibu na kinu cha nyuklia.
Taarifa hii ni uthibitisho wa taarifa niliyoitoa hapo awali katika post #64.
CONFIRMED: 4.9 magnitude earthquake hits Iran near nuclear power plant. Quake struck early morning 10 km south-east of Borazjan, Iran. [Gulf News]
![]()
4.9 magnitude earthquake hits Iran near nuclear power plant
Quake struck early morning 10 km south-east of Borazjan, Irangulfnews.com
Unatishia wakati mwenzako anafanya kweli?
Mmeo ameshatiwa doleKwahiyo kumbe ni maneno tu bado hawajarusha hata kokoto moja kulekea ziliko hizo kambi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani roho yako imenza kufurahi sasa.maneno meeeengi hadi nimechoka sasa kungojea huu mtanange
Kwahiyo kumbe ni maneno tu bado hawajarusha hata kokoto moja kulekea ziliko hizo kambi?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu waache wauane tu wanatengeza midude ya ajabu waache wauane wapumbavuSwali langu ni je hao US hawata jibu mashambulizi?
Na je ikiwa watajibu yupi atapata hasara kubwa kati ya Iran na US?
*Ukitaka kufanya jambo razima uangalie faida na hasara zake!
Sent using Jamii Forums mobile app
ImekuajeAngekuwa yule Kichaa Prof Ahmed Najad angeweza kufanya hivyo, lakin hawa kina Rouhan wana akili timamu hawawezi kufanya hivyo
Hata Bunge la US lipo kwenye hatua ya kuandaa zuio la Trump kwenda Vitani
Napendaga mamitanange haya mimi dah hadi rahaRipoti kutoka Lebanon: Ndege za kijeshi za jeshi la anga la Israel (IAF-IDF) zinapita katika anga la Beirut muda huu.
Ni maneno tu.Kwahiyo kumbe ni maneno tu bado hawajarusha hata kokoto moja kulekea ziliko hizo kambi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kalianzisha janamaneno meeeengi hadi nimechoka sasa kungojea huu mtanange