Iran yatishia kuzishambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati

Iran yatishia kuzishambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati

Angekuwa yule Kichaa Prof Ahmed Najad angeweza kufanya hivyo, lakin hawa kina Rouhan wana akili timamu hawawezi kufanya hivyo

Hata Bunge la US lipo kwenye hatua ya kuandaa zuio la Trump kwenda Vitani
Dah hata mm nimemkumbuka sana Nejad huyu jamaa angekuwa madarakani sasa hivi Iran na marekani wangekuwa vitani maana akili zake hata Trump akasome.
 
Inasemekana kuwa makamanda takribani 56 wa IRGC (Islamic Revolutionary Guard Corps) wametiwa nguvuni na taasisi ya masuala kiintelijensia la IRGC tangu Jumatatu ya jana.

Sababu za makamanda hao kuwekwa kizuizini bado hazijafahamika.
Ndugu yangu uko vizuri kwa ujasusi unalipoti mambo ambayo hata CAI hawavijui.
 
USA anafurahia tuu coz anazid kupanua wigo wake ku_dominate middle east kwa kuwa kikwazo aliyebaki ni huyu Iran, sasa kama atamtoa kwenye njia bhaac ataendelea kuifanya middle east vile atakavyo
 
Mjini Nasiriyah, kusini mashariki mwa Iraq kumetokea mashambulizi ya risasi yanayosemekana kutekelezwa na kikundi cha wanamgambo cha Hezbollah usiku wa Jumanne.

Mashambulizi hayo yamefanywa dhidi ya waandamanaji ambao inasemekana walitangaza na kuweka mgomo wa kuto kuhudhuria mazishi ya kamanda aliyekufa katika lile shambulizi la 'drone' la Marekani, Al-Muhandis.

Makazi ya muda mfupi na mahema ya waandamanaji hao yamechomwa moto huku waandamanaji takribani sita wakijeruhiwa vibaya kwa risasi huku wengine wakiwa mahututi.

Taarifa zaidi zitawajia.
 
BREAKING: Kambi ya jeshi la anga (Airbase) ya Al-Asad nchini Iraq inashambuliwa na 'roketi' muda huu.

Roketi takribani 30 zadaiwa kutua katika kambi hiyo ya kijeshi ya anga mpaka sasa.

Kambi hii inahifadhi vikosi vya kijeshi vya Marekani pamoja na Uingereza nchini Iraq.

Taarifa zaidi zitawajia.
 
There are no casualties reported so far at the Al Asad air base, officials say. The base, one of the largest U.S. facilities in Iraq, houses both Iraqi and U.S. forces. [Los Angeles Times]
 
Iran anajua anachokifanya kweli?
U.S. Defense Secretary Esper and U.S. Secretary of State Pompeo have arrived at the White House. [CNN]
There are no casualties reported so far at the Al Asad air base, officials say. The base, one of the largest U.S. facilities in Iraq, houses both Iraqi and U.S. forces. [Los Angeles Times]
Iran Fires Missiles at Base With U.S. Troops in Iraq

Kambi ya jeshi la anga (Airbase) ya Al-Asad nchini Iraq inashambuliwa na 'roketi' muda huu.

Roketi takribani 30 zadaiwa kutua katika kambi hiyo ya kijeshi ya anga mpaka sasa.

Kambi hii inahifadhi vikosi vya kijeshi vya Marekani pamoja na Uingereza nchini Iraq.

Taarifa zaidi zitawajia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashambulizi yanaendelea.

Bei ya mafuta imepanda kwa zaidi ya 3.5% mpaka hivi sasa.

Kambi za kijeshi takribani tatu (3) zinadaiwa kushambuliwa hadi hivi sasa ninapoandika haya maandishi.

  • Al Asad
  • Erbil
  • Taji (Camp Taji)
 
Taarifa zisizo rasmi: Ndege za kivita za Marekani zipatazo sita (6) zimepaa kutokea uwanja wa kijeshi wa Al-Dhafra, UAE na zimeelekea kusini mwa Iran.

Hali Ni Tete!
 
BREAKING: Rais wa Marekani, Donald Trump kulihutubia taifa hivi punde.

Tusubiri!
 
BREAKING: Urgent preparations underway for President Trump to address the nation tonight from the Oval Office. [CNN]
 
Vita tayari imeanza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom