George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Show me the receipts!Multiple times
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Show me the receipts!Multiple times
Unalazimisha huna fact mkuu.Multiple times
Silazimish ila ni fact tu, tambo nyingi bad track record
Sasa, nenda ka edit maandishi yakoIran revolution happened 1979.
Iraq-Iran war happened 1980-1988.
Nilikusudia 1980 Iran ilikua inafanya government reform.
Nimesha edit🙏🙏🙏Sasa, nenda ka edit maandishi yako
Fursa maridhawa, waumini wake ni wajinga kuzidi ujinga wenyewe.Hawa watu ni tatizo sijui kww nini mtu akishaasoma biblia aya 2 basi ruksa kufungua kanisa
Wanalingia 👇👇Iran imetoa ONYO kuwa nchi yeyote ya kiarabu itakayosaidia Israel na marekani kuishambulia basi itakumbana na matatizo makubwa.
Iran imechukua msimamo mkali dhidi ya majirani zake baada ya kutoa onyo kali kuhusu ushirikiano wowote na Israel kwa ajili ya operesheni za kijeshi.
Msimamo huu mkali ni sehemu ya mkakati wa Iran kuzuia nchi za kiarabu kushirikiana Israel. Maafisa wa Iran wamesisitiza umuhimu wa "umoja wa kikanda" kukabiliana na kile wanachokiona kama tishio kutoka Israel, huku wakieleza pia umuhimu wa kudumisha utulivu huko Mashariki ya Kati
Soma pia: Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu
Onyo hilo halihusishi tu matumizi ya anga, lakini pia Iran inafuatilia kwa karibu uwezekano wa ushirikiano wa vituo vya kijeshi vya Marekani vilivyoko katika eneo la Gulf
Kwa mujibu wa vyanzo vya kidiplomasia, msimamo wa Iran uliwekwa wazi wakati wa mkutano wa hivi karibuni huko Doha.
Ujumbe ulikuwa wazi: taifa lolote la Gulf States litakaloruhusu anga yake au vituo vyake vya kijeshi kutumika kwa operesheni dhidi ya Iran litakabiliwa na kisasi.
Tehran inachukulia vitendo hivyo kama uamuzi wa pamoja wa mataifa yote ya Gulf, jambo ambalo linaweza kupanua wigo wa majibu yake.
Kazi kwako Saudi Arabia na vibaraka wengine wa marekani hapo Middle East .
Weka ukweli wako 👇👇Sekunde 400 au dk 5 ni uwongo
Mbona mnapenda vita nyie watu?
Taifa la Israel ni Taifa la Mungu!! Ukilibariki unabarikiwa na ukililaani unalaaniwa!! Marekani na Uingereza wanaufahamu vizuri ukweli huu!! Hii haina maana kuwa Israel hawana makosa la hasha!! Wakifanya makosa Mungu mwenyewe anawaadhibu!! Hakuna Taifa duniani lililopokea baraka kama Taifa la israel. Lakini kwa upande mwingine historia inaonesha Taifa la Israel limepita kwenye adhabu kubwa sana kutoka kwa Mungu!!Tusubiri maoni kutoka kwa walokole wa uswahilini wanaosali kwenye yale makanisa mabati na viti vya baa, maana wale huwaelezi kitu kuhusu taifa teule
Sasa mkuu Saddam angekuwepo si ange ungana na iran?, maana alikua keshajua kuwa USA sio mtu wa kuaminika ata kidogo, raisi wa Syria kama angekuwa kajipendekeza Kwa USA, saizi washa mla kichwa kitambo lakini Russia na iran wana mpa support mpaka leo yupo, hapo lipo la kujifunzaIran washukru Marekan kwa kumuua Sadam Hussein, vinginevyo kauri hizi za Iran kuzigeuza nchi za kiarabu kama wanawake wanao sitahili kuolewa na Iran isingekuwepo.
Iran wengi ni washia na utawala wa Saudi Arabia ni Wasuni.Iran wana chuki sana na Saudi Arabia
Maneno mengi hapo ana mlenga saud tu
Huu upuuzi mtupu umeandika hapa,,, bila shaka wewe itakuwa unasali kwa mwamposa,,, hao misri na yordani unaowasema unadhani walipigana na Israel?? Israel kivuli tu pale kulikuwa na mkono wa marekani na uingereza ambao ni miungu wa Israel. Poor mind eti ukiibariki Israel na ww utabarikiwaTaifa la Israel ni Taifa la Mungu!! Ukilibariki unabarikiwa na ukililaani unalaaniwa!! Marekani na Uingereza wanaufahamu vizuri ukweli huu!! Hii haina maana kuwa Israel hawana makosa la hasha!! Wakifanya makosa Mungu mwenyewe anawaadhibu!! Hakuna Taifa duniani lililopokea baraka kama Taifa la israel. Lakini kwa upande mwingine historia inaonesha Taifa la Israel limepita kwenye adhabu kubwa sana kutoka kwa Mungu!!
Huwezi kupigana na Taifa la Israel ukafanikiwa!!
Waulize Misri na Yordani na Syria!! Watakuambia hicho kitaifa kione hivyo hivyo!!
Sasa mkuu Saddam angekuwepo si ange ungana na iran?, maana alikua keshajua kuwa USA sio mtu wa kuaminika ata kidogo, raisi wa Syria kama angekuwa kajipendekeza Kwa USA, saizi washa mla kichwa kitambo lakini Russia na iran wana mpa support mpaka leo yupo, hapo lipo la kujifunza
Tusubiri maoni kutoka kwa walokole wa uswahilini wanaosali kwenye yale makanisa mabati na viti vya baa, maana wale huwaelezi kitu kuhusu taifa teule