Iran yatoa Onyo kwa nchi yoyote ya Kiarabu itakayoruhusu Israel na Marekani kutumia anga au ardhi yake kushambulia Iran itaadhibiwa vikali

Yaani wao Iran watumie anga za wengine kurusha makombora kwenda Israel, ila Israel isitumie hizo hizo anga kulipiza? Upuuzi huo
Hiyo dini ni kiboko ya ubongo kabsa.....hairuhusu kabsa mtu kutumia akili ndo maana mapumbavu mengine yanajitoa mhanga yanauwa watu wasio na hatia ili yaende peponi kusherekea na Allah
 
Kila siku zilipuliwa una uhakika? Saudi waliacha kuzalisha mafuta? Waliyumba kiuchumi?
No the truth is iran hawez fanya lolote la kuumiza majirani. Ata chimba biti for nothing
Taarifa zilitoka mkuu katika vyombo vya habari tofauti na hasara ilitangazwa.
Sawa Saudi Arabia hakuacha kuzalisha mafuta,ila ikubalike hasara ya billions of dollars ilipatikanika.
Na hayo mashambulizi ndio yaliyochagiza Saudi Arabia kuondoa vikosi vyake Yemeni na kukubali kukaa mezani kumaliza uhasama na Houthi.
*Unakizungumziaje kinachoendelea Baab Al mandib!?
Je Iran ikiamua kufanya hivyo na strait of Hormuz!?
Usilete general implication mkuu.
Kila mtu ameona kinachojiri red sea kwa washirika wanaomsaidia Israel.
 
It's time all Sunni Arab states united against their common enemy, the Shia terrorist state and the head of the 🐍 @khamenei_ir IRGC regime to help Israel get the job done to dismantle and replace the regime to enable peace to prevail in the middle east...
 
Iran anajua kuwa kwenye vita na USA Shah watarudi madarakani
 
You're talking shit pal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…