Iran yatoa Onyo kwa nchi yoyote ya Kiarabu itakayoruhusu Israel na Marekani kutumia anga au ardhi yake kushambulia Iran itaadhibiwa vikali

Nafaham hoja unazo lakini ni zauongo, kumwambia mtu mzima eti Iraq, Yemen, Syria na Lebanon chanzo Cha umasikini wao ni IRAN mkuu nenda kajipange upya. Tunajua anaeharibu Amani ya dunia hii ni nani hata wewe unamfahamu lakini huwezi andika ukweli kwa sababu unamahaba nae. Yeye kila migogoro lazima awepo hakosekani.
 
What most people don't know is that the House of Saudi and the modern day ruling royal family are Jews- they are descendants of Jews who fought early Muslims tribes. And their conflict with Iran can be traced back to 7th century in the battles between Muslim and Jewish tribes.
And that is why they can barely sit and do nothing, rather than watching injustice in a Muslim countries like Palestine that is perpetrated by the Zionists.
 
Iraq na Iran wamepigana Miaka zaidi ya 8 sababu, Iran ilikuwa inataka kupindua Serikali ya Kisunni aweke Puppets wake

Vita ya 2003 ni sababu tofauti sana na anachotaka Iran kwenye mataifa ya Kiarabu
Unadhani wote wajinga humu Iran ilotoka kwenye mapinduzi ikiwa bado changa ingeweza kuweka puppet wapi acha kudanganya watu vita ya Iran na Iraq ilikua sababu Iraq kwa msaada wa shoga zake Marekan nk wawaondoe kina Ayatollah wawaregeshe vibaraka kina shah licha ya kutumia silaha za sumu walizopewa na Marekani dhidi ya Iran bado Iraq wakafyekwa
 
Unalazimisha mawazo yako yaonekane sahihi.
Kama damage ya Saudia ingekua ndogo basi Saudia asingeomba majadiliano na kuondoa jeshi Yemeni.
Hasara alizotiwa na Houthi ndio zimemfanya yeye aondoe jeshi lake Yemeni na kusitisha kumsapoti Mansour.
Haijalishi Saudia ina uchumi gani kwasasa ila ukubali usikubali ilitiwa hasara.

*Iran uwezo huo bado anao kupitia Houthi hiyo hiyo,hivi unadhani kuifunga baab al mandib hakujaiathiri Saudia na Egypt!?
Kumeiathiri sana tu,mbona hukusikia wakiongea na kunyanyua mdomo!?
Narudia tena bro,Iran ina uwezo wa kufanya kile ilichosema.
 
Iraq na Iran wamepigana Miaka zaidi ya 8 sababu, Iran ilikuwa inataka kupindua Serikali ya Kisunni aweke Puppets wake

Vita ya 2003 ni sababu tofauti sana na anachotaka Iran kwenye mataifa ya Kiarabu
Embu acha uongo we kijana.
Vita ya Iraq-Iran war ni Saddam kutaka kuimega Iran kama alivyotaka kuimega Bahrain kama sijakosea.
Hiyo Iran 1980 ndio kwanza ilikua imetoka kufanya mapinduzi,huo wakati wa kutaka kuweka puppet badala ya ku reform serikali unatoka wapi!??
2002/2003 nadhani unafahamu sababu za USA kuivamia Iraq,na USA ilifanya war crimes ndani ya Iraq na Jullian Assange alitoa ripoti hadi wakampachika kesi ya uhaini.
 
Iran.

Iran anazibadilisha kuwa Vassals
Kama USA asingeivamia Iraq basi Iraq isingeharibika hivi ilivyo.
Kama USA asingemchochea Saudi Arabia kumsapoti Mansour Yemen basi Yemeni isingeharibika hivi ilivyo.
Kama USA na Israel wasingeleta Damascus crisis basi Syria isingeharibika kama sasa.
Uongo haukusaidii kitu bro.
 
Yemeni yote inamkubali Houthi.
Yani 90% ya raia wanaiunga mkono Houthi na walishaipinga hiyo serikali ya Mansour.
Na mji mkuu Sanaa unakaliwa na Houthi.
 
Hawa wanapita utake usitake
 
Wanajua wao kaa kula tende shushia na kachori kabisa. Mzayuni hanaga kazi ndoto na hapigi tu kiboya anafanya calculation zake. Equation zikibalance utaelewa. Kula tende na maziwa ya ngamia ikiwezekana uende ukawahi na ww mabikra 72
 
Hamna kitu watafanya, kwa miaka mingapi sasa western forces wamekuwa wakitumia ardhi za majirani zake? Tena wana base? Wameziadhibu hizo nchi kwa lolote?
Ni mara ngapi western forces wametumia hizo base kuishambulia Iran?
 
Mapinduzi ya Iran yalifanyika mwaka gani kweli? Na hiyo vita ya miaka 8 ilipiganwa from mwaka gani to mwaka gani? Rejea historia yako vizuri
 
Mapinduzi ya Iran yalifanyika mwaka gani kweli? Na hiyo vita ya miaka 8 ilipiganwa from mwaka gani to mwaka gani? Rejea historia yako vizuri
Iran revolution happened 1979.
Iraq-Iran war happened 1980-1988.
Nilikusudia 1980 Iran ilikua inafanya government reform.
 
Ni mara ngapi western forces wametumia hizo base kuishambulia Iran?
Multiple times
Silazimish ila ni fact tu, tambo nyingi bad track record
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…