Iran yawatia nguvuni maafisa usalama na wa jeshi zaidi ya 20 kwa usaliti.

Iran yawatia nguvuni maafisa usalama na wa jeshi zaidi ya 20 kwa usaliti.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
 
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
Hawa Israel wana akili ziada sio bure
 
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
The Beginning of the End of the repressive and brutal regime of Iran.

Dalili za mwisho kabisa za kukaribia "kuanguka kwa Mnara wa Babeli."
 
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
Ayatollah nilikwambia kunja miguu shuka fupi mbu watakuluma!; Yahudi Si mchezo mchezo kumbuka alichomfanyia x presidaa Raisi😭😭😭😭
 
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
Wataumizana bure Israel is safe
 
Inaripotiwa mamlaka za Iran zimewatia nguvuni maafisa zaidi ya 20 wa idara za ujasusi, usalama na jeshi wa nchi hiyo pamoja na wasaidizi wao wengi kufuatia tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ndani ya ardhi yake alipofika kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Iran.

Japo Israel imewahi kufanya mauaji mbalimbali ya raia wa Iran wenye maslahi makubwa na taifa hilo mfano wanasayansi wafanyakazi wa miradi ya nuclear ya Iran na washauri mbalimbali wa kijeshi, tukio la hivi karibuni la kuuwawa kwa Haniyeh katika ardhi yake limewapa aibu kubwa zaidi kiasi cha baadhi ya watu kudai Israel hata ikitaka kumuondoa Ayatollah ni suala la kuamua wakati na mahali tu.

Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
Kwa nn walikuwa wanatusingizia sisi sasa?
 
The Beginning of the End of the repressive and brutal regime of Iran.

Dalili za mwisho kabisa za kukaribia "kuanguka kwa Mnara wa Babeli."
True say. Kifo cha yule Rais wao siku chache baada ya kurusha dron ndani ya Israel ilipaswa kuwa somo kwa musharafu. Ila kwakuwa bado anacheza na moto Dunia ina muangalia ila ukweli nikwamba Iran ipo karibu na mwisho wa utawala wake🤔
 
Acheni kukuza mambo.
Hapo hakuna ajabu yeyote hiyo ni kawaida ili adui wa nje afanikishe malengo ndani ya nchi yako ni razima awatumie watu wa ndani, na kila nchi haiwezi kukosa wasaliti hata Marekani mpaka sasa inawasaka na imesha wafunga baadhi ya watu walio wahi kufanya kazi kwenye idara za ujaususi za nchi hiyo kwa usaliti.
Hata hii Israel yenyewe ilisha wahi kumfunga waziri wake wa kilimo kwa tuhuma za kuifanyia Iran ujaususi.

Hayo mauaji ya kigaidi yanayo fanywa na Israel hata Iran akitaka kuanza kuwasaka viongozi na watu muhimu wa Israel na kuwauwa hashindwi sema hiyo sio sera yao maana ni operation zinazo tumia pesa nyingi hali yakuwa zina faida ndogo kimkakati.
Na ndio maana mataifa yenye watu wenye akili huwa hazifanyi operation za kipuuzi namna hiyo.
 
Acheni kukuza mambo.
Hapo hakuna ajabu yeyote hiyo ni kawaida ili adui wa nje afanikishe malengo ndani ya nchi yako ni razima awatumie watu wa ndani, na kila nchi haiwezi kukosa wasaliti hata Marekani mpaka sasa inawasaka na imesha wafunga baadhi ya watu walio wahi kufanya kazi kwenye idara za ujaususi za nchi hiyo kwa usaliti.
Hata hii Israel yenyewe ilisha wahi kumfunga waziri wake wa kilimo kwa tuhuma za kuifanyia Iran ujaususi.

Hayo mauaji ya kigaidi yanayo fanywa na Israel hata Iran akitaka kuanza kuwasaka viongozi na watu muhimu wa Israel na kuwauwa hashindwi sema hiyo sio sera yao maana ni operation zinazo tumia pesa nyingi hali yakuwa zina faida ndogo kimkakati.
Na ndio maana mataifa yenye watu wenye akili huwa hazifanyi operation za kipuuzi namna hiyo.
NIlitaka nikueleze kitu fulani hivi juu ya kuua ring leader lakini nafikiri hutanielewa
 
Migambo inaruka na kukanyagana, yote imeinama inacheka kinyama...hiiii anacheka..
 
Bado ni gumzo kubwa jinsi gani Mossad ya Israel iliweza kumfikia na kumuua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa Islamic Revolutionary Guard Corps(IRGC). Kuna nadharia mbalimbali zikiwemo drone ndogo iliyorushwa kwa karibu au bomu lililotegeshwa chumbani kwake mapema kwa msaada wa agents wa Mossad ndani ya Idara za usalama za Iran.
Kuna uzi nilicomment humu kuwa mambo mengine wanafanyiziana wao kwa wao, mtu mmoja akanipinga
 
Kipigo kimewachanganya mpaka wameanza kushikana uchawi.
Hawajui ni drone ama bomu la kutegwa..
 
Acheni kukuza mambo.
Hapo hakuna ajabu yeyote hiyo ni kawaida ili adui wa nje afanikishe malengo ndani ya nchi yako ni razima awatumie watu wa ndani, na kila nchi haiwezi kukosa wasaliti hata Marekani mpaka sasa inawasaka na imesha wafunga baadhi ya watu walio wahi kufanya kazi kwenye idara za ujaususi za nchi hiyo kwa usaliti.
Hata hii Israel yenyewe ilisha wahi kumfunga waziri wake wa kilimo kwa tuhuma za kuifanyia Iran ujaususi.

Hayo mauaji ya kigaidi yanayo fanywa na Israel hata Iran akitaka kuanza kuwasaka viongozi na watu muhimu wa Israel na kuwauwa hashindwi sema hiyo sio sera yao maana ni operation zinazo tumia pesa nyingi hali yakuwa zina faida ndogo kimkakati.
Na ndio maana mataifa yenye watu wenye akili huwa hazifanyi operation za kipuuzi namna hiyo.
Ustaazi unajifariji tu ila kusema ukweli kile kipigo kimemvua nguo ayatollah pamoja na vibaraka wake.

Na hii si mara ya kwanza kwa myahudi kutoa vipigo vya kumchanganya adui.
Kumbuka operation Entebbe ilivyomuacha uchi nduli Idd Amin
 
Back
Top Bottom