Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Nimewaza Vita ya Irani na Israeli na Kituko cha Mizinga 300 kutoleta Athari Kwenye Ardhi ya Israeli.
Inawezekanaje Siraha hevy za moto zaidi ya 300? Sio kwamba Irani na Israel wana lao moja?
Hawa Wayahudi na Waajemi wan Undugu wa Kiroho Tangu zamani.
Nikurudishe nyuma kidogo.
Mambo mema ambayo Irani (Waajemi) waliwatendea Wayahudi hapo zamani za kale.
1. Wayahudi walipokuwa wametekwa ndani ya Babeli chini ya Nebkadineza na baadae Mwanaye Belshaza walipata nafuu ya Utumwa kwa Mfalme Koreshi Mwajemi kuiangusha Babeli.
2. Baada ya Koreshi alishika madaraka Mfalme wa Uajemi King Darius( Dario) huyu Mwamba aliandika nyaraka Ikulu akaifadhi ikieleza kuwa baada ya kipindi cha miaka fulani wayahudi waachiwe warudi kwao Yesrusalem kuujenga mji wao uliobomorewa na Nebkadneza miaka 600BC.
3. Tukio lingine ni lile la Mfalme Dario kuwaua Mawaziri na Baraza loote la maliwali alipogundua kuwa walimdanganya kwamba Daniel alikuwa Mhaini asiyetii sheria za Uajemi ambazo zilikuwa Infaliable( yaani hazitenguki). Maliwali walikula kibano cha kufa mtu wao na watoto wao na wake zao wakatupwa kwenye shimbo la Simba zikawasasambua asibaki hata mmoja. Wakati huo Daniel akiwa ndiye Waziri Mkuu Uajemi( imagine Mkimbizi tu)
4. Baada ya Mfalme Dario aliingia Ahasuero, huyu Mwamba alikuta nakala ya Barua iliyoandikwa na kuagiza Wayahudi waruhusiwe kurudi kwao na akatekeleza. Ahasuero akampa barua ya Ruhusa Ezra akiwa na wenzake akina Yoshua, Hagai Nabii, Modekai, Delaya na Zerubabeli wakaenda kuanza ujenzi. Kitu kikubwa ktk Ruhusa hii ni kwamba Ahasuero aliagiza maliwali waliokuwa pande za Siria na Jordani na ng'ambo ya Mto(West Bank) wahakikishe Waisraeli hawasumbuliwi. Soma Kitabu cha Ezra, 1,2 hadi sura ya 6. Mfalme anaagiza ikiwa watapungukia basi wakuu wa mikoa inayozunguka israeli wahakikishe wanachukua sehemu ya Kodi wawahudumie wayahudi wasipate tabu.
5. Kule Jordan wakajitokeza wabishi akina Sanbalati, Tobia, Geshem Mwarabu kutaka kuleta bugudha na kejeli wakadhibitiwa na Waajemi.
6. Baada ya Ahasuero alifata Mfalme Atashasta kipindi cha Nabii Nehemia, mwendo ukawa ule ule. Katika mwaka wa 20 wa kutawala kwake Atashasta Kamanda wa Jeshi na Intelijensia Hamani akazinyaka taarifa kwamba Kuna Wayahudi hawataki kuitii serikali na mamlaka ya Uajemi( kosa la uhaini). Waliotuhumiwa ni akina Modekai na wayahudi woote(wakimbizi). Kwa kujipendekeza Kamanda Hamani akapanga kuwaua wayahudi wote akianza kumtundika Juu ya Mti Modekai ili washenzi wengine wajifunze. Lahaulaa! Kibao kikageuka Hamani akatundikwa Yeye na Wayahudi hawakufanywa kitu. Walaka uliotolewa kwa maliwali wote na wakuu wa mikoa ukafutwa na wayahudi wasibudhudhiwe.
7. Basi Nehemia na kina Zerubabeli wakafunga msafara wa pili( second importation) wa kurudi kwao wakapewa ulinzi na pesa kutoka kwa Mfalme wa Uajemi.
Kwa hiyo kwa nyakati zote za uhai wa Israeli na Uajemi hawa watu wamekuwa ndugu. Sio undugu wa kikabila bali wa kiroho.
Unaposikia Kuna Mizinga na drone za kibabe 300 zimepiga na hakuna madhara yoyote yaliyotokea usishangae ktk Ulimwengu huu wa Propaganda.
Inawezekanaje Siraha hevy za moto zaidi ya 300? Sio kwamba Irani na Israel wana lao moja?
Hawa Wayahudi na Waajemi wan Undugu wa Kiroho Tangu zamani.
Nikurudishe nyuma kidogo.
Mambo mema ambayo Irani (Waajemi) waliwatendea Wayahudi hapo zamani za kale.
1. Wayahudi walipokuwa wametekwa ndani ya Babeli chini ya Nebkadineza na baadae Mwanaye Belshaza walipata nafuu ya Utumwa kwa Mfalme Koreshi Mwajemi kuiangusha Babeli.
2. Baada ya Koreshi alishika madaraka Mfalme wa Uajemi King Darius( Dario) huyu Mwamba aliandika nyaraka Ikulu akaifadhi ikieleza kuwa baada ya kipindi cha miaka fulani wayahudi waachiwe warudi kwao Yesrusalem kuujenga mji wao uliobomorewa na Nebkadneza miaka 600BC.
3. Tukio lingine ni lile la Mfalme Dario kuwaua Mawaziri na Baraza loote la maliwali alipogundua kuwa walimdanganya kwamba Daniel alikuwa Mhaini asiyetii sheria za Uajemi ambazo zilikuwa Infaliable( yaani hazitenguki). Maliwali walikula kibano cha kufa mtu wao na watoto wao na wake zao wakatupwa kwenye shimbo la Simba zikawasasambua asibaki hata mmoja. Wakati huo Daniel akiwa ndiye Waziri Mkuu Uajemi( imagine Mkimbizi tu)
4. Baada ya Mfalme Dario aliingia Ahasuero, huyu Mwamba alikuta nakala ya Barua iliyoandikwa na kuagiza Wayahudi waruhusiwe kurudi kwao na akatekeleza. Ahasuero akampa barua ya Ruhusa Ezra akiwa na wenzake akina Yoshua, Hagai Nabii, Modekai, Delaya na Zerubabeli wakaenda kuanza ujenzi. Kitu kikubwa ktk Ruhusa hii ni kwamba Ahasuero aliagiza maliwali waliokuwa pande za Siria na Jordani na ng'ambo ya Mto(West Bank) wahakikishe Waisraeli hawasumbuliwi. Soma Kitabu cha Ezra, 1,2 hadi sura ya 6. Mfalme anaagiza ikiwa watapungukia basi wakuu wa mikoa inayozunguka israeli wahakikishe wanachukua sehemu ya Kodi wawahudumie wayahudi wasipate tabu.
5. Kule Jordan wakajitokeza wabishi akina Sanbalati, Tobia, Geshem Mwarabu kutaka kuleta bugudha na kejeli wakadhibitiwa na Waajemi.
6. Baada ya Ahasuero alifata Mfalme Atashasta kipindi cha Nabii Nehemia, mwendo ukawa ule ule. Katika mwaka wa 20 wa kutawala kwake Atashasta Kamanda wa Jeshi na Intelijensia Hamani akazinyaka taarifa kwamba Kuna Wayahudi hawataki kuitii serikali na mamlaka ya Uajemi( kosa la uhaini). Waliotuhumiwa ni akina Modekai na wayahudi woote(wakimbizi). Kwa kujipendekeza Kamanda Hamani akapanga kuwaua wayahudi wote akianza kumtundika Juu ya Mti Modekai ili washenzi wengine wajifunze. Lahaulaa! Kibao kikageuka Hamani akatundikwa Yeye na Wayahudi hawakufanywa kitu. Walaka uliotolewa kwa maliwali wote na wakuu wa mikoa ukafutwa na wayahudi wasibudhudhiwe.
7. Basi Nehemia na kina Zerubabeli wakafunga msafara wa pili( second importation) wa kurudi kwao wakapewa ulinzi na pesa kutoka kwa Mfalme wa Uajemi.
Kwa hiyo kwa nyakati zote za uhai wa Israeli na Uajemi hawa watu wamekuwa ndugu. Sio undugu wa kikabila bali wa kiroho.
Unaposikia Kuna Mizinga na drone za kibabe 300 zimepiga na hakuna madhara yoyote yaliyotokea usishangae ktk Ulimwengu huu wa Propaganda.