Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

Waislam hatubauani kwa kabila wala rangi.

Hayo matatizo yenu ya kanisani sisi hatuna.
Waislam wa Tanzaniq ni kweli hawabaguani. Ila waarabu na waajemi wanabaguana ndio maana wanapigwa mkwara hata kwenda kuhiji
 
Mineno mitupu kama dela la malaya
 
Unaandika vitu usivyovifahamu dogo. Unakaa sana vijiweni kusikiliza porojo.
Ninyi watoto mnaropoka tu, kwanza unaanzaje kuita mtu dogo na haujawai muona?
Andika wewe unavyovifahamu kuhusu hao mashetani wa mashariki ya kati wanaojiita israel ili tujue ukweli unaofahamu wewe..!!
 
Wewe ndiye umeandika unachokijua? Watu wapo hapo miaka nenda rudi halafu anakuja mtu kutoka Kazulamimba eti waliokuwepo hapo siyo wenyewe.
Wapalestina, Lebanon, Jordan , Syria, Egypt amba ndiyo majorsni zao wanaoishi pale miaka kwa maelfu hauzikuti hizi story za eti wale siyo Original, story hizi utakutana nazo kwa watu wa Afrika Mashariki tu.
 
Ninyi watoto mnaropoka tu, kwanza unaanzaje kuita mtu dogo na haujawai muona?
Andika wewe unavyovifahamu kuhusu hao mashetani wa mashariki ya kati wanaojiita israel ili tujue ukweli unaofahamu wewe..!!

Dogo ukikaa umeshika remote na miguu umeweka kwenye stool unaona umemaliza maisha hapo kwa shemejiyo.
 
Tatizo lako unakalili vitu bila kuelewa,
Kwanza fatilia chanzo cha vita ya siku sita (six days war) kati ya hao wanaojiita waisrael na nchi za kiarabu utapata jibu la kwanini nakwambia hao sio waisrael halisi.
Pia fatilia kabila linaitwa Khazarian Tribe (Ashkenazi Jews) utapata jibu kwamba kwanini waliopo pale mashariki ya kati sio waisrael halisi
 


Mh unarusha kombora 300 from all angle halafu unasema hutak yalete madhara basi si yangerushwa baharin maana wote tunajua kuwa mazoez ya makombora yanarushwaga baharini kuepuka athari..

So hayo makombora yasingekuwa inteecepted yasingeleta madhara sio?...
 
Kumbuka pia Ni Iran iliyoamuru wayahudi wote wauwawe. Enzi za Malkia Ester. Na waliwahi kuandika waraka hairuhusiwi kujenga chochote israel enzi hizo (Yuda) ikiwa ni magofu.
Hv kwann hamjiulizi kila mtu anawachukia wa israel?hittler amewaua na iran nae aliamuru wauwawe kwa mujibe wako lakini badala ya kutafuta sababu mnalaumu wanaotaka kuwaua hata ww ukiona kila mtu anakuchukia jichunguze tabia yako haiwezekani watu wote wakuchukie ww tena bila sbababu
 
Hayo makombors hakuna alyeyaona kati ya mimi na wewe zaidi ya zile movie za video zilizorushwa wala hazioneshi kama zinatoka irani na kama zinaenda Israeli hakuna anayeweza kusema
 
Hawa jamaa akili zao huwa wanajua wenyewe Karakana wanakozipitishia.
Ngoja wasubiri wenzao wanaporusha Makombora wawaonyeshe huwa inatakiwa iweje.
Ila kama kuna imani au kuna kitu wanakiamini hawa jamaa, basi sharti lao kubwa ni kujakikisha hautumii akili zako katika hali na wakati wowote ule.
Ndiyo maana wameagizwa kuwa, ukienda kujisaidia haja hata ndogo ukikosa maji basi josafishe hata kwa mchanga au matope na wao wanatii.
 
Aisee, hizi hadithi za kusadikika bado mnaziamini tu!?
 
Hao wasioamini hicho kitabu ni watu gani? Kama unawazungumzia Ban Israel basi umepotoshwa. Biblia uijuayo wewe yoote ni Biblia ya kiyahudi isipokuwa Agano jipya (linalozungumzia maisha ya Yesu Kristo tangu kuzaliwa, kufa, kufufuka, kupaa na baada ya kupaa)
 
Msichok8elewa nimkuwa Iran kafikishabujumbe.

Missiles za engine za honda xilikua ni decoy tu za kuwatia hasara mazayuni, missile zilizotakiwa zipige zimepiga na hakuna aliyeweza kuzizuwia.
Zimepiga wapi? Weka ushahidi hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…