Iranian Elections: Ahmedinejad's Victory and The Aftermath!

Iranian Elections: Ahmedinejad's Victory and The Aftermath!

Hao ni Protesters waliopo Marekani wengi wao ni Iranian- Americans,lakini pia wapo watu wengi wa mataifa mengine ambao wanaona uchaguzi wa Iran haukuwa fair,kuna wanaosema waziwazi kuwa Utawala wa Obama unapaswa uingilie kati hali Tete iliyopo Iran.

Mgogoro huo unakwenda pabaya,kwa sababu serikali ya Iran inatumia nguvu kuvunja maandamano hayo,lakini watu bado ni wengi na wanazidi kuingia mitaani.....Inaonekana Rais Obama atatoa tamko la serikali ya US kuhusu hali hiyo ya Iran.Pentagon inasema imeweka majeshi ya US yalipo Persian Gulf katika hali ya tahadhari.

Licha ya Washington DC kuna maandamano makubwa New York,San-Fransisco na Los Angeles,Miji yote hiyo ina Idadi kubwa ya Iranian-Americans.

Asante mkuu kwa info. Sidhani kama Obama atatuma majeshi huko kwa sababu kuna watu watasema Marekani ilikuwa ina tafuta to excuse ya kuingia. Obama atasubiri mpaka ajue kuwa whatever actions he takes itakuwa na support ya wengu around the world. Ila I also don't think Marekani ina takiwa kuingilia maswala ya nchi nyingine. Kama ikibidi nchi zingine ziingilie then ifanyike kupitia U.N.
 
How much??

Lile bakuli la pink ndo kubwa maana unavopenda popcorn..., lakini wewe hulipendagi unasemaga linanifaa mimi, kwani nani atakuona si tuko ndani unless kama unataka kutoa TV nje? lakini nzitoo, 100 inches?? labda mwite nyani ngubu akusaidie. Na vyombo vingine vyote vichafu, mi jana nilichoka sana baada ya "old schools" nikaamua kulala hivo hivo. Hata sikuoga.

(I still have hangover)

Wewe weka popote tu. I'm not ashamed of a pink bowl haha.
 
Hao ni Protesters waliopo Marekani wengi wao ni Iranian- Americans,lakini pia wapo watu wengi wa mataifa mengine ambao wanaona uchaguzi wa Iran haukuwa fair,kuna wanaosema waziwazi kuwa Utawala wa Obama unapaswa uingilie kati hali Tete iliyopo Iran.

Mgogoro huo unakwenda pabaya,kwa sababu serikali ya Iran inatumia nguvu kuvunja maandamano hayo,lakini watu bado ni wengi na wanazidi kuingia mitaani.....Inaonekana Rais Obama atatoa tamko la serikali ya US kuhusu hali hiyo ya Iran.Pentagon inasema imeweka majeshi ya US yalipo Persian Gulf katika hali ya tahadhari.

Licha ya Washington DC kuna maandamano makubwa New York,San-Fransisco na Los Angeles,Miji yote hiyo ina Idadi kubwa ya Iranian-Americans.

Jamani, majeshi tena yanaandaliwa??....

Oh, gosh....hii ishakuwa noma...thank God Mccain sio President, angeanzisha noma nyingine asivo fikiria vizuri kabla ya kutenda. But, I think Obama will stay aside for a while kama alivosema, He might even wait to see kama nchi nyingine wataingilia kwanza, I think he'll be more diplomatic hata kama watamsema sana
 
Hivi mmegundua kuwa hakuna nchi yoyote ya mashariki ya kati iiliyotoa tamko lolote kuhusiana na hali ya Iran?

Ofisi za balozi za nchi nyingi za magharibi(ukiondoa Canada) zimefungua milango kwa majeruhi ili wapate huduma ya kwanza.

Tamko ambalo serikali ya Obama itatoa sana sana litakuwa ni kulaani utumiaji wa nguvu kwenye kuvunja maandamano hakuna kingine watakachofanya wazi wazi.
 
Nimetoka gym....and I'm tired. Bring me something to eat

Jamani, unaona nina mwanafalsafa huku? na alivo demanding, nikiinuka kidogo tu anasema ananimiss...lol!

where is k.
 
Hivi mmegundua kuwa hakuna nchi yoyote ya mashariki ya kati iiliyotoa tamko lolote kuhusiana na hali ya Iran?

Ofisi za balozi za nchi nyingi za magharibi(ukiondoa Canada) zimefungua milango kwa majeruhi ili wapate huduma ya kwanza.

Tamko ambalo serikali ya Obama itatoa sana sana litakuwa ni kulaani utumiaji wa nguvu kwenye kuvunja maandamano hakuna kingine watakachofanya wazi wazi.

Yeah hawawezi kufanya chochote. Ayatollah keshampa stamp of approval Akhhhhmadinejad....that's it and that's that.
 
Jamani, unaona nina mwanafalsafa huku? na alivo demanding, nikiinuka kidogo tu anasema ananimiss...lol!

where is k.

Mwache aangalie news bana...mwekee CNN International...mpe na pocorn (au bado tu hazijaiva?)
 
From the Briefing room
THE WHITE HOUSE

Office of the Press Secretary
_______________________________________________________________
For Immediate Release June 20, 2009


Statement from the President on Iran
The Iranian government must understand that the world is watching. We mourn each and every innocent life that is lost. We call on the Iranian government to stop all violent and unjust actions against its own people. The universal rights to assembly and free speech must be respected, and the United States stands with all who seek to exercise those rights.

As I said in Cairo, suppressing ideas never succeeds in making them go away. The Iranian people will ultimately judge the actions of their own government. If the Iranian government seeks the respect of the international community, it must respect the dignity of its own people and govern through consent, not coercion.

Martin Luther King once said - "The arc of the moral universe is long, but it bends toward justice." I believe that. The international community believes that. And right now, we are bearing witness to the Iranian peoples’ belief in that truth, and we will continue to bear witness.
 
Hivi mmegundua kuwa hakuna nchi yoyote ya mashariki ya kati iiliyotoa tamko lolote kuhusiana na hali ya Iran?

Ofisi za balozi za nchi nyingi za magharibi(ukiondoa Canada) zimefungua milango kwa majeruhi ili wapate huduma ya kwanza.

Tamko ambalo serikali ya Obama itatoa sana sana litakuwa ni kulaani utumiaji wa nguvu kwenye kuvunja maandamano hakuna kingine watakachofanya wazi wazi.

Interesting point... where is Middle East countries?? wako kimyaaaa...
 
Interesting point... where is Middle East countries?? wako kimyaaaa...

Kuna mawili,

I.Hawataki regime change in Iran kwa sababu itasukuma wananchi wa nchi nyingine in the region to do the same kudai mabadiliko kwenye nchi zao.

II. Hawawezi kuisupport Iran.

Ambivalence itakuwa inawapelekesha sana.
 
Fanya boys night out. Au itakua soo?

Wewe?, boyz night out ya nani, I think we're going out for dinner tonight??,umeshasahau ivo...si nimekwambia toka juzi I feel like Thai food..

Mh!, wanaume!, usahau annivesary, birthdays, na sasa hii...kazi ipo!

I aint feel like cooking.
 
Back
Top Bottom