Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna soldiers wengi wamezikwa ujerumani wa mataifa tofauti hata ndugu hawakuwaona kabisa.
Veteran.
Tony nave 6 age baba yake kafia iraq.
Baba na mama.
Brothers wa marehemu wa vita ya IRAQ.
Anamlilia rafiki yake very painful.
crying soldier
Dead us snipers in Ramadi.
Vita tuisikieni tu redioni.
The U.S. War Casualties the Pentagon Doesn’t Want You to See.
Upo sawa kabisa mkuu..Kuna nguvu kubwa sana inatumiwa na hawa aliens kuiangamiza mashariki ya kati, Kuna kitu wanakifahamu na ni kitu kinachowapa hofu kubwa..... Wajaribu kulegeza kamba uone kitakachotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka mtenda maono hafi ngoja nitulieUpo sawa kabisa mkuu..
Hapo mashariki ya kati ndio itapoanza WORLD WAR THREE...
Wameweza hadi kuwagonganisha vichwa UAE,QATAR na SAUD ARABIA
Leo wamekua maadui wakati walikua na umoja upendo na Amani
Sent from Calculator Phone vesion007
Dharura ikishadharurika nitakuja kuweka kambi mkuu
marekani wanaweza kuamua kuhamishia balaa hili mahala popote, issue ni ku divert ujinga wa waarabu wa ku concentrate kushambulia israel na other allies wa america waliopo mashariki ya kati. Hapa wanaweza hata wakahamishia balaa hili tunisia au Moroco because nchi hizi ni moja ya vyanzo vikubwa vya wapiganaji wa jihad na wa kujitoa mhangasyria marekani kishanyanyua mikono juu,CIA kasitisha kuwapa silaha ISIS,
vita viko ukingoni,
mipango ya marekani sasa ni kuharibu iran,
bado sasa wanajipanga baada ya kumpoza kidogo kim Un,mambo yataanza pale iran mda si mrefu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120]background yangu ni Kanisani sahihi kabisa, halafu nikaenda seminary ya Kibuddha kwa miaka mitano nikajifunza mengi ya kirohoMshana una maarifa sana mkuu, ni mtu wa tafakari sana wewe really great thinker, mambo ya Kimungu pia mwerevu wake, halafu MTU wa mizahaa wakati mwingine, aina tu uwasilishaji wa mada zifurahishe. Hongera sana, ulilelewa kanisani nini mkuu?
Asante OK hii inaendea lakini nivumilienikusema ukweli mshana jr mada zako ni nzuri mno shida unaziwasilisha kwa ufupi sana, pongezi lakini ila ukweli iraq haitakua vile ilivyo kua maana imeitwa kwa majina yote mabaya, kahaba,makao makuu ya wachawi nk nk. so ni mji wenye laana
Mshana jr mida ya wanga hii jamaa angu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana jr mida ya wanga hii jamaa angu
Hukupata tena usingizi nini
Hivi unaelewa hata mada yenyewe!!! Au unataka kuanza kuharibu thread hapa kama kawaida yenu, kwa kutumia hisia za kijingaYesu au issa ibn Marian , Ibrahim, na Adam na Eva inasadikika waliishi huko! Ata kuja kwa yesu ndio hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye msafara wa mamba.....!!!!Hivi unaelewa hata mada yenyewe!!! Au unataka kuanza kuharibu thread hapa kama kawaida yenu, kwa kutumia hisia za kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
kenge hawakosekani kama wakikosekana basi hata mijusi itaunga msafara ilimradi mamba asiwe mwenyewe