Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mmh GuDume unasoma historia kweli? Hasa ya Iraq na miji yake? Unaijua vema historia ya Ninawi? (Nineveh)?
Miaka hiyo Ninawi ndio ulikuwa mji wenye maendeleo makubwa duniani pamoja na wasomi wengi
Ni kweli kabisa middle east wana historia ndefu sana.Tutaendelea kuna mambo namalizia kuweka sawa... Unajua hapo mashariki ya kati kuna siri kubwa sana hasa kwenye ishu nzima ya uumbaji
What is your point?Kuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknkView attachment 568238View attachment 568239matukio mawili ya kufanana yaliyotokea katika nchi moja kwa tofauti ya maelfu ya miaka! Nitarejea kwa mahesabu yakeView attachment 568240View attachment 568241
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nitulie kakaNi kweli kabisa middle east wana historia ndefu sana.
Watu wengi mashuhuri wamepita hapo.
Iraq imetandikwa makombora na Iran halafu mataifa mengine yakaipiga tena alipovamia Kuwait lakini ukiangalia Baghdad huwezi sema ilipigana vita.
Nyumba bado zipo imara sijui walikuwa watu wa aina gani ajabu kwa kweli.
Kuna mengi sana huko endelea kufukunyua mkuu
Mmh hii ni ya lini? Bunge lina hii taarifa?Mkuu [HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG] tafadhali njoo malizia habari yako sababu nasikia kuna kanuni imetungwa kuwa "Ni marufuku mitandao /vyombo vya habari kujihusisha/kujadili mambo yoyote yaliopo nje ya nchi"
So, please come and finish it
News Alert: - Kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa 3 usiku hakuna kurusha maudhui ya nje ya nchi, iwe muziki au habariMmh hii ni ya lini? Bunge lina hii taarifa?
ThanxAccording to the Bible, Abraham was from Ur, which is in Southern Iraq. Isaac’s wife, Rebekah was from Nahor, which is also in Iraq. Additionally, according to legend, Iraq is the site of the Biblical Garden of Eden.[2]
Wengi hawajalielewa hiliAccording to the Bible, Abraham was from Ur, which is in Southern Iraq. Isaac’s wife, Rebekah was from Nahor, which is also in Iraq. Additionally, according to legend, Iraq is the site of the Biblical Garden of Eden.[2]
AiseeNisamehe ni pilika nyingi zinazomkabili binadamu yeyote
Anyway nitaongezea machache na mengi nikisubiri kwenu.
Kwa kweli vita Ile ilikuwa ya miujiza sana
Operation desert shield ya mwaka 1991 walipatwa na maajabu makubwa sana
Wazungu walitaka kuionyesha dunia ubabe, wakiwa wamefuatana nchi zote.
Kwanza walishindwa kuanza kumtoa Iraq mapema kwa ajili ya joto na wakasubiri hali ya hewa ibadilike lakini pamoja na kuwepo kwao huko walijikusanya saudia na baadae kuelekea Iraq.
Lakini mambo hayakuwa salama kwao kwani viatu viliyeyuka can you imagine that.
Halafu zile helicopter za Uingereza lynx ambazo flying hours ni 500 lakini zilikuwa zinabadilishwa kwa masaa 27 tu
Bunduki zao zilikuwa jammed eti zinaingia mchanga
Na hata tanks zilikwama kutembea na kisingizio eti mchanga tofauti
Sasa cha kujiuliza tangu lini mwarabu akatengeneza silaha?
Nina maana silaha zote zilizotumika miaka yote kwenye jangwa ni zao (wazungu) halafu wanasingizia mchanga na vumbi.
Jamani kwa kweli kua uone ya dunia Mimi wajukuu wangu hawataboeka kwa kweli ( just kidding, only God knows)
Vijana wadogo waliletwa lakini wengi wameathirika mpaka Leo na compensation hawatapata.
Walichoendea wamekipata kwa maslahi yao lakini sacrifice imefanyika sana
Nisiwachoshe sana
Kwa majibu haya nimecheka sna mkuuView attachment 581262hupaswi kukasirikiwa bali kuelekezwa kwa upole kuwa JF sio FB wala badoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uimalizie cyo! Ok tuombe kilalakheri
Kenge wanakuwepo