Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Unayoyaona yote yalitokea jua kwamba ni unabii. No hakuna tendo linaloendelea bila imani.Ukiongelea unabiii nadhani unakua umeingia kwenye imani pia.....lakini in reality iraq kuja kurudi kwenye ramani ni ngumu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo babeli sio Iraq sio, yenyewe iko wapi sasaBabeli unayoisema wewe haipo kabisa leo?
Yaani sehemu ilipokuwa Babeli hakuna mji wowote ni magofu kama unavyodai?
Ndio maana hivi karibuni yamefunguliwa makumbusho ya kuasisi binadamu wa kwanza kuishi (Olduvai Gorge).Mtoa uzi ana tuaminisha binaadam wa kwanza Katokea Arusha Tanzanian sijui kisayansi au kiiman hao ndio wasomi wetu na Historia yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yangu imani yataanza kwa kuimarika kwa taifa la GREAT KURDISTAN A.K.A mdogo ake ISRAELsyria marekani kishanyanyua mikono juu,CIA kasitisha kuwapa silaha ISIS,
vita viko ukingoni,
mipango ya marekani sasa ni kuharibu iran,
bado sasa wanajipanga baada ya kumpoza kidogo kim Un,mambo yataanza pale iran mda si mrefu
Mkuu Mshana Embu Malizia Hio story ya Wairaq wa MbuluKuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknkView attachment 568238View attachment 568239matukio mawili ya kufanana yaliyotokea katika nchi moja kwa tofauti ya maelfu ya miaka! Nitarejea kwa mahesabu yakeView attachment 568240View attachment 568241
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa uchambuzi uliotukuka...pamoja na kuichakaza kwa kila njia lakini bado mmarekani haamini amini...kwa post yako hii ni wazi mmarekani hana amani kabisaCyrus the Great......Persian Empire Now is Back.....Hivi Iran nguvu gani hasa maana nimeona US Intel ina ulaumu utawala wa Bush/Obama baada ya mission yao 2003 Ilitegemewa US aidhibiti Irak sawa anavyozidhibiti Saud,Kuwait,Bahrain,UAE,Qatar nk lakin Irak sasa imekua chini ya Iran...Na ikumbukwe covertly Iran amekua akiwapa silaha Irak na ndo zilipelekea Wanajeshi wengi wa US kuuliwa sawa na Afghanistan ambako US anamtuhumu Iran na sasa Russia kua wanarefusha vita kwa kuwapa silaha Taliban! Tukirudi Irak km mada inavosema kwasasa tusitegemee Irak kutulia maana US ameinvest sana uko kwa silaha na watu wake kufa tatizo Irak kwa % kubwa ni waislam wa madhehebu ya Kishia na Iran ni Washia hivyo US akajikuta anapata shida sana kutekeleza agenda zake maana saivi Iran wametrain Paramilitary unit [HASHTAG]#PMU[/HASHTAG] ambao ni washia sawa km Hezbollah na wananguvu tumeona mziki wao ktk kupambana na IS na uko Kurdistan hawa wako vizur tofauti na jeshi la Irak ambalo lilikua trained na US/NaTo lakin Dunia ilishihudia wakiuliwa km kuku na kukimbia na kuziacha silaha zao tena US made weapons mbele ya ISIS...Sasa kwa minajiri hiyo IRAN imeshaikamata IRAK na kinachofanyika sasa ni US kujaribu kuunganisha nguvu ya Saudi Arabia ,Israel na US mwenyewe ili kujaribu Kui contain Iran na wanataka waanzie Lebanon kwa Kundi la Hezbollah then wakimaliza wàje Iran....Hivyo kwa sarakasi hizi zote tutegemee Irak kutotulia kwa muda mrefu maana tiari Iran kashaingiza ideology zake uko Irak hivyo tutegemee Proxy wars among them....
[emoji120][emoji109]Huu uzi ukiwa mtu wa science na msomi wa kukariri huwezi kuuelewa abadani, wasomi wa mambo na wenye akili timamu kama mshana pamoja na sisi wenyekujua historia ya middle east tunafahamu nini kinachoendelea .Middle East ndio uti wa mgongo wa maisha ya mwanadamu.
[emoji15][emoji15][emoji22][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kuna wakati mimi hudhani mshana Jnr ni mwanga tu kama walivyo wanga wengine , na kuna walati huwa nadhani sio mtu wa kawaida na huenda mbali zaidi na kudhani labda ni jini aliekuja duniani kwa sura ya kibinadamu, kifupi nikikutana na Mshana Jnr usiku lazima nitimue mbio sana huku nikisoma dua zote nizijuazo hakuna namna ya kuokoa maisha yangu zaidi ya hiyo,
Dah kuna maeneo umenitajia ngoja tusimalize utamu wake hapa...kuna post yake rasmi itakuja...na Mungu akipenda mwakani nitaenda mitaa hiyomshana jr nimekaa Iraq karibu kabisa na Babilon pale Najaf, pale kuna Shrine kubwa ya Imam Ali na wao wanasema ile srine pia ni ya Adam na Nuhu!!! lakini pale Najaf ya kale kuna eneo linitwa KUFA, pale pana historia yake pia. naomba sasa utusaidie ewe mwanajini tujue ukweli wa Babilon, KUFA, Ele mto wa Ufiriti unaokatiza pale najaf na samaki wake watamu, baadae utuambie historia ya watu wa Basra au wakiitwa Basrawi, na mwisho kabisa hawa weusi wa Basra wanaoitwa pia wa zanjibar amabo wanaaaminika wako fit kwa ulozi hapo iraq .... nimeishi mwaka mmoja pale