Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Mauzauza hoyee!Aliyechoma ni raia wao , wanahasira na ubalozi wa inchi nyingine sehemu lilikotokea tukio!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauzauza hoyee!Aliyechoma ni raia wao , wanahasira na ubalozi wa inchi nyingine sehemu lilikotokea tukio!!
Ila hapa aliyechoma ni mIraq mwenzao!Ni ujinga tu,unachoma kitabu,wakati viko mamilioni duniani.Mbona waislamu hawachomi vitabu vya dini nyingine.Kama biblia ziko nyumbani,kwa waislamu na zimehifadhiwa vizuri tu.Wanapopita wanaotangaza ukristo majumbani mwa waislamu,wanapokelewa vizuri,na kusikizwa,mwisho wanaacha biblia kwa waislamu.
Kwenye sheria haijalishi ujifanyie mwenyewe au mfanyie mwingine kinyume cha sheriaIla hapa aliyechoma ni mIraq mwenzao!
tuwasihi muendelee kuwa wavumilivu kama wakristoWewe ulisikia lini waislam wakaandamana na kuchoma kitabu cha dini nyingine?
mtafeli sana,tena pakubwa, ushaambiwa sweden haina mpango kukamata raia wake wanaochoma moto vitabu vya dini hawaamini vitabu hivyo na havipo kwenye katiba yao, tulia we muumini wa madongo kuinama bongo huijui dunia hii inavyoeendaHatuwezi tuka kaa kimya kuvumilia upuuzi wa namna hiyo.
Tumewashauri Waislamu wenzetu waishio nchini Sweden kwamba kama serikali haitamkamata huyo aliyechoma Quran, basi Waislam tuanze kuhamia nchi nyingine za jirani na tutawataka waislam wote kuacha kwenda nchini Sweden hadi hapo serikali itakapomkamata mtu huyo.
Katika hili tupo serious na kamwe hatutarudi nyuma.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Kinafundisha ugaidi watoto
Na wao wawe wavumilivu tu, wakipuuzwa hata mandamano yao hayatakuwa na maana.Ni ujinga tu,unachoma kitabu,wakati viko mamilioni duniani.Mbona waislamu hawachomi vitabu vya dini nyingine.Kama biblia ziko nyumbani,kwa waislamu na zimehifadhiwa vizuri tu.Wanapopita wanaotangaza ukristo majumbani mwa waislamu,wanapokelewa vizuri,na kusikizwa,mwisho wanaacha biblia kwa waislamu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watulie tuYani waislamu waliokimbia njaa kwenye nchi za kiislamu na kupewa hifadhi Sweden uwaambie waondoke Sweden wanaweza kukukata shingo.
Wapo wengi lakini hawajikwezi wapo na mambo yao tuWazungu tele wapo nchi za kiislamu,na ni wengi tu,ukifika Dubai,Abudhabi,Qatar,Oman,Kuwait,Saudia, Iran,Iraq nk wamejazana,wamekimbia njaa kwao Ulaya.