Iraq: Ubalozi wa Sweden umefungwa sababu ya uchomaji wa Quran nchini Sweden.

Ila hapa aliyechoma ni mIraq mwenzao!
 
mtafeli sana,tena pakubwa, ushaambiwa sweden haina mpango kukamata raia wake wanaochoma moto vitabu vya dini hawaamini vitabu hivyo na havipo kwenye katiba yao, tulia we muumini wa madongo kuinama bongo huijui dunia hii inavyoeenda
 
Na wao wawe wavumilivu tu, wakipuuzwa hata mandamano yao hayatakuwa na maana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…