Irene Uwoya Abadili Dini Sasa kuitwa Sheila.

Anaenda kuzini tu huyo. Ndoa ya kanisani haivunjiki. No wonder kabadilisha dini sababu hamna kanisa litamfungisha ndoa wakati mume wa kwanza yu hai.
Tena pengine ni mke wa pili maana kwa umri wa mwanaume lazima awe na mke. Maisha ya mitala atayaweza
 
Mimi Usafi na mapishi ndio maana nikaoa Mbondei wa Tanga kwa akina MANI

Kweli we ni mwisho. Yaani hata ungekuta domo ka choo kwako hujali bora anajua kupika wali mchambuko?? We noma aisee. Miye hajui kupika ila ukifika sebuleni hutamani aondoke bali umwangalie tu uso wake
 
Anaenda kuzini tu huyo. Ndoa ya kanisani haivunjiki. No wonder kabadilisha dini sababu hamna kanisa litamfungisha ndoa wakati mume wa kwanza yu hai.
Alimvuruga sana Ndikumana wa watu hadi mpira ukamshinda
 
Huyo mwanaume ana sura mbaya kama hamorapa maana wewe dada yetu sheila huwa hupend wanaume wenye sura nzur

Ila tu isije kuwa unacheza move za ray na stev kanumba
Mkuu,watoto wa kike ndio wanajua nani ana sura nzuri au mbaya,wewe yamekukuta yapi tena?
 
huyo ndio kakubali kukumbana na harufu nzuri ya K
 
Kuna Wanaume wajinga na wabinafsi sana nani amewaambia mtoto mzuri kama Uwoya ni wakuoa?mkitendwa mnalialia kuna watoto waliletwa kuburudisha wanaume alafu mijitu inataka wawe wao peke yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…